Kwa bandiko lako hilo hapo juu naona kama vile na wewe umeanza kuelewa ninavyo elewa mimi hasa pale ulioosema siyo lazima ufe au udhurike mapema.
anhaaa! nimeelewa sasa, thanks.
Kumbe unazungumzia uwezekano huko mbeleni!
Kwa maana hiyo si jambo la uhakika kuwa kweli pilau ni sumu bali ni suala la ubashiri tu.
Halafu, shida ni sehemu ya maisha hususan uzeeni.
Sijawahi kukutana na mtu mwenye umri mkubwa asiye na matatizo ya kiafya.
Hivyo, uepuke kula pilau usiepuke...matatizo ya kiafya yatokanayo na umri kuwa juu yatakuwepo tu.
Bado siamini pilau ni sumu.
Mkuu mimi niliwahi sikia ila pia nikasikia inategemea na namna pilau linavyopikwa.
Nasikia upishi unaotumika sana mitaani wa kuunguza viungo sana ndio sababu ya pilau kuonekana sio chakula chenye kujenga afya.
Pia nasikia kuna michanganyiko ya viungo inayoweza kuzalisha sumu baada ya kula. Mfano inashauriwa usitumie kitu kichachu halafu hapo hapo ukala kitamu ili kutozalisha sumu mwilini. Hapo unajiuliza mbona vyote ni vilaji vya asili, kwanini viwe na madhara?
Kuhitimisha tu, niseme kwamba, uunguzaji wa viungo vya kupikia pilau ndio chanzo cha kudhuru tumbo.
owe kubali kataa ila kuchukuatahadhari ni jambo muhimu sana. kuna uzee wenye shida nying na uzee wenye shida chache za kiafya.
99% ya style ya uandaaji wa pilau ndo husababisha chakula hichi kiwe sumu. ni wapish wachache sana wanaoweza kupika pilau lisilo na madhara.
99% ya style ya uandaaji wa pilau ndo husababisha chakula hichi kiwe sumu. ni wapish wachache sana wanaoweza kupika pilau lisilo na madhara.
Hujaweka ushahidi wowote ule.
Unasema tu.
vitu vingine sio mpaka uthibitishiwe bali unatumia "common sense" tu.
hivi wewe hata kwa kufikiri tu! hujui kua pilau lenye mafuta meng tena yenye lehemu na viungo ving vilivyounguzwa litakudhuru?
May be lakini pilau ni bora zaidi kuliko wali rosti ukitizama ubora wake kwa nutrients
Sasa kama hakuna uthibitisho kuwa pilau ni sumu kwa nini udai kuwa ni sumu? Msingi wa hilo dai lako ni nini? Uhalisia/ ukweli au hisia tu?
Huwezi kusema kitu fulani ni sumu halafu ukiombwa uthibitisho/ushahidi kwamba ni sumu, unakosa jibu.
Kumbuka kuwa hisia zako si lazima ndo ziwe uhalisia wa jambo.
Pilau ina madhara gani?
Nani keshawahi kudhurika na alidhurikaje?
Na una uhakika gani alidhurika na pilau na si kitu kingine?
duh! huu ni zaidi ya ubishi.
ndio mimi hapa. mara nying nkila pilau tumbo hunisumbua sana.