ahsante mkuu MziziMkavu kwa kutia neno hapa. ni hivi mimi kwa maoni yangu chakula kinaweza kuwa na sumu ndio, na nnavyosema sumu simaaanishi tu kua itakuua moja kwa moja bali namaanisha unaweza ukawa unajiua taratibu kwa kula aina fulani ya vyakula, mfano vya kusindikwa, vyenye sukari na chumvi nyingi (salt & sugar are sweet poison), vyenye mafuta mengi, n.k.
Nimeileta hii mada hapa jukwaani sababu ni miaka kadhaa imepita tangu niliposkia kwenye television kua daktari mmoja wa tiba mbadala/asili/hebarist mashuhuri nchini, angechambua sumu takribani 14 zilizopo kwenye PILAU siku hiyo saa 4 usiku, bahati mbaya sikufuatilia. ila nliweka akilini kua pilau si chakula bora kwa afya ya binadamu kutokana na kumuamini huyu dr. japo sikufanikiwa kutazama uchambuzi wake ucku huo.
TFDA .....wako na wanakula pilau pale external
CHEF ......wapo wazuri saana kwa pilau pale Zahir ...Chef pride na Indian dishes hotels..Mimi bado nadhani mtoa mada anaongelea kitu kingine kabisa na siyo PILAU.Hichi kitu naendelea kukitafuta bado au kwa huruma yake atusaidie ili tuendelee kuchangia ubaya wake na au uzuri wake
Ni pilau la kula, wala usiumize kichwa.
ahsante mkuu MziziMkavu kwa kutia neno hapa. ni hivi mimi kwa maoni yangu chakula kinaweza kuwa na sumu ndio, na nnavyosema sumu simaaanishi tu kua itakuua moja kwa moja bali namaanisha unaweza ukawa unajiua taratibu kwa kula aina fulani ya vyakula, mfano vya kusindikwa, vyenye sukari na chumvi nyingi (salt & sugar are sweet poison), vyenye mafuta mengi, n.k.
Nimeileta hii mada hapa jukwaani sababu ni miaka kadhaa imepita tangu niliposkia kwenye television kua daktari mmoja wa tiba mbadala/asili/hebarist mashuhuri nchini, angechambua sumu takribani 14 zilizopo kwenye PILAU siku hiyo saa 4 usiku, bahati mbaya sikufuatilia. ila nliweka akilini kua pilau si chakula bora kwa afya ya binadamu kutokana na kumuamini huyu dr. japo sikufanikiwa kutazama uchambuzi wake ucku huo.
Huyo Daktarı wa Hebalist Feki mimi ni Mzizimkavu ni Daktari wa Hebalist ninasema chakula cha Pilau hakina sumu mbona mimi ninakula pilau zaidi ya miak 50 iliyopita sijadhurika? na lait iPilau ingelikuwa ni Sumu akina Saidi Bakhressa wanaopika Mahotelini mwao Serikali ingesha wapiga marufuku wasiuze Pilau. Usipende tu kila kitu kuikisia na kuamini fanya uchunguzi au uliza kwa wanaojuwa je pilau inapikwa kwa viungo gani? utajibiwa
Mapishi ya Pilau
Karibuni tujifunze kupika pilau.
Mahitaji:
? Mchele kilo 2
? Nyama ya mfupa kilo 2
? Vitunguu maji 2 na karoti kubwa 2
? Viungo vya pilau vilivyosagwa pakiti moja(saizi ya kati) Bizari ya pilau ,mdalasini, hiliki na zabibu
? Viungo vya pilau visivyosagwa
? Chumvi kiasi
? Mafuta ya olive
? Njegere glasi
? Viazi ulaya nusu kilo
? Vitunguu Saumu
Haya kati ya hivyo vifaa vya kupikia hiyo Pilau niambie kipi chakula cha sumu hapo mkuu tomjelly ? Huyo Daktari wa hebalist aliye kuwa anazungumza kwenye TV alikuwa ni Daktari feki tena anatoka mji wa bara hajuwi faida ya kula hiyo chakula cha pilau.