tomjelly
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 560
- 198
- Thread starter
- #61
Kwahiyo NyaniNgabu huamini kua mpikaji
ndo unaweza kuifanya pilau kuwa sumu / harmful kwa
mambo yafuatayo:- ??? kama alivyosema mchangia mada aliepita
1.kuweka mafuta mengi sana...watu
wengi wanapopika pilau huweka mafuta
mengi sana kwa madai ya kwamba ndo
linanoga .
2.Uwekaji wa viungo vingi sana ......watu
wengine hupendelea viungo vingi
kwamba ndo linakuwa tamu,hii
hupelekea kuleta shida kwa wengi kwa
kupata gas tumboni au kuharisha pia
mafuta ni sababu.....pia gas ikizidi sana hupelekea vidonda vya tumbo.
3.Wengine hupika lile pilau la vitunguu
maji ambavyo huunguzwa sana na kuwa
vyeusi kabisa .....hii direct kwa kufanya
hivi ni sumu tosha.
ndo unaweza kuifanya pilau kuwa sumu / harmful kwa
mambo yafuatayo:- ??? kama alivyosema mchangia mada aliepita
1.kuweka mafuta mengi sana...watu
wengi wanapopika pilau huweka mafuta
mengi sana kwa madai ya kwamba ndo
linanoga .
2.Uwekaji wa viungo vingi sana ......watu
wengine hupendelea viungo vingi
kwamba ndo linakuwa tamu,hii
hupelekea kuleta shida kwa wengi kwa
kupata gas tumboni au kuharisha pia
mafuta ni sababu.....pia gas ikizidi sana hupelekea vidonda vya tumbo.
3.Wengine hupika lile pilau la vitunguu
maji ambavyo huunguzwa sana na kuwa
vyeusi kabisa .....hii direct kwa kufanya
hivi ni sumu tosha.
Last edited by a moderator: