babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
popbwinyo umezungumza ukweli mtupu. ila tatizo huo ni UKWELI MCHUNGU kuhusu pilau nliokusudia watu waupate nlipoleta uzi huu, sidhani kama wataupokea huu ukweli mchungu. wapi Nyani Ngabu dr wetu Mzizi Mkavu mjadala unaendelea huku. bantu.garage hii ndio maana yangu halisi.
I am not buying into your bullshit.
Ain't nothing wrong with pilau.
If you are allergic to it then that's your problem!
Not everybody's problem.
I will continue to eat it for as long as I'm still alive and I will not be deterred by your ignorance.
sad, You are trying to be agaist the truth. is that not ignorance too??
Nyani Ngabu....I am not impressed by your comments.Haidhuru tomjelly ...kama ulikuwa una maana hiyo,sina budi kukubali.Lakini hiyo au hilo pilau linaingia saana na matukio ya kisiasa yaliyotokea tangu baada ya uchaguzi mpaka kutangazwa kwa baraza la mawaziri...yaani watu walivyokubali jinsi three the hardways walivyofanya kazi na kuvunjika moyo baada ya baraza la mawaziri kutangazwa.Mimi nilichukulia hivyo na niwe mkweli kwako bado nachukulia hivyo.
Cc....members wengine naogopa matusi pse.
karibu...
heee!!kiinglish tena!!!I am not buying into your bullshit.
Ain't nothing wrong with pilau.
If you are allergic to it then that's your problem!
Not everybody's problem.
I will continue to eat it for as long as I'm still alive and I will not be deterred by your ignorance.