Ni kweli Rashford wa Manchester United katokea Zanzibar?

Azaliwe 97 alaf awe na miaka 21??[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
t
tupia picha yake nyingine kuthibitisha
 
Nadhani ni utani tu kwa sababu ya hiyo sura ya Marcus Rashford...ana uso na mdomo mrefu kama Wazenji; ni kama tu Thiery Henry alivokuwa akiitwa 'Mbulu' sababu ya mbio zake akiwa na mpira mguuni!
 
Upand naamin upande nakataa hlo jina tok nmelisikia cku ya kwanza niliwaza sana Rashid(chid) na hlo makame lilinipa wasiwasi sanaa jecha fany yako dogo arud bongo au tutume ile team nanii ikatoe povu kwenye page ya man u hdi waturudishie rashid wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…