Azaliwe 97 alaf awe na miaka 21??[emoji15] [emoji15] [emoji15]Full name: Marcus Rashford
[1]Date of birth 31 October 1997
-age 21
Place of birth Zanzibar,
Height 1.80 m (5 ft 11 inch)
[3] Playing position Forward Club
information Current team Manchester United Number 19
Youth career 2005–2016 Manchester United
Senior career* Years Team App 2016– Manchester United!
mdhamini sijaona kwenye jezi2009 na mdhamini wa hiyo jezi co kwl
tupia picha yake nyingine kuthibitishahii picha imepigwa kama miaka 3 au 4 iliyopita kwa sababu uyo jamaa aliyevaa jezi rangi kijani anaitwa abrahman said tumesoma darasa moja kuanzia la kwanza 1 mpaka la 7 na tunakaa mtaa mmoja na. iyo picha ilipigwa kwa ajili ya timu ya arizona, uyo dogo si rashford na hawalingani kabisa jaribuni kuangalia pua zao na midomo
Chevrolet cheki vzurimdhamini sijaona kwenye jezi
Mbona hiyo aliyovaa ni jezi ya Liverpool?Chevrolet cheki vzuri
nawe umeon kumbeMbona hiyo picha kana Photoshop kama kachomekwa vile. Embu angalia huo mpira jinsi alivyoushika