Ni kweli reli mpya inachukua mita 70 kila upande.

Ni kweli reli mpya inachukua mita 70 kila upande.

boris maganga

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2017
Posts
382
Reaction score
378
Habari wana jf,kuna maeneo ya mkoani nimepita mfano tabora nimeona nyumba nyingi zikiwa zimepigwa x ,nilimsikia raisi akisema ni mita 30 tu,lakini Hawa jamaa wanapima mita 70.,hii ipo kisheria?au wanatafuta sifa.
 
Back
Top Bottom