Ni kweli Robertihno kocha?

Mnapojidanganya ni kuamini simb ina wachezaji wazuri!! Umeandika point nyingi lkn mwisho umeharibu.

Simba ni mbovu haina wachezaji wa maana zaid ya majina majina.
 
Timu Mbovu zilizofungwa na Yanga Msimu huu 2023/2024 mpaka sasa;

1. KMC - Goli 5
2. JKT Tanzania - Goli 5
3. AZAM - Goli 3
4. SIMBA - Goli 5
 
Propaganda fc.

Timu haijifunzi aisee.

Ila na wachezaji wa simba ni wazee aloo. Kina Saido, M. Hussein, Kapombe, Bocco.

Haya hawa wengine walikataliwa huko nyie mmebeba chama na miquison.

Na hapo hamjakutana na mume wenu Azam ambae nae lazima awakande.
 
Huu uzi umeuanzisha saa 8:37.
Ni sawa, hauko sawa kiakili kwa sasa.
Ukiamka andika na ya viongozi kwanini mnaiba wachezaji AIRPORT, na mna scouting master
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…