njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Heeeeee ya kweli haya wandugu? naona logo ya Metl kama kweli basi kila la heri, i like it, nitazinywa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, sukari imepanda MO kaweka na kilevi kwa mbali ili mkinywa mlewe mjione mnaongoza ligi[emoji3]Heeeeee ya kweli haya wandugu? naona logo ya Metl kama kweli basi kila la heri, i like it, nitazinywa sana
View attachment 2214527
kwa hiyo hiko kinywaji kipo?Sasa mlitaka kula pesa ya mhindi bila kuliwa, Kila siku ajitolee yeye tu wakati nanyi mnavyo vyakutoa!! Iyo inaitwa mla naye uliwa.
basi lengo zuri sana ina kilevi kumbe?Ni kweli, sukari imepanda MO kaweka na kilevi kwa mbali ili mkinywa mlewe mjione mnaongoza ligi[emoji3]
Magodoro yamelowekwa maji , leo mtalala wapi?Sasa mlitaka kula pesa ya mhindi bila kuliwa, Kila siku ajitolee yeye tu wakati nanyi mnavyo vyakutoa!! Iyo inaitwa mla naye uliwa.
Alisikika rais mstaafu wa Tanzania akiyasema hayaSasa mlitaka kula pesa ya mhindi bila kuliwa, Kila siku ajitolee yeye tu wakati nanyi mnavyo vyakutoa!! Iyo inaitwa mla naye uliwa.
Simba si imefika robo fainali Kwa pesa ya mwekezaji si ndio kunufaika kwenyewe maana gharama za kufikia pale hazipungui milioni 300.Simba kama timu inanufaika vipi??
Milioni ngapi kufika pale ?Simba si imefika robo fainali Kwa pesa ya mwekezaji si ndio kunufaika kwenyewe maana gharama za kufikia pale hazipungui milioni 300.
kule yanga wenye akili wapo wawili tu kikwete na sunday manara, yale magodoro kumbe wanalalia utopolo pekee yao??? azam cola kumbe wanakunywa azam pekee??Kama kweli hii basi aliyeshauri hili hana akili.
Biashara inahitaji Watu wote haihitaji mashabiki wa Simba tu kwasababu Wanaoipenda Utopolo hawatonunua hizi.
Kama kweli hii basi aliyeshauri hili hana akili.
Biashara inahitaji Watu wote haihitaji mashabiki wa Simba tu kwasababu Wanaoipenda Utopolo hawatonunua hizi.
kuna sehemu una shida na akili yako...Kama kweli hii basi aliyeshauri hili hana akili.
Biashara inahitaji Watu wote haihitaji mashabiki wa Simba tu kwasababu Wanaoipenda Utopolo hawatonunua hizi.
washabiki wa yanga wala hawa tumii bidhaa za mo sababu ni simba, wala wa simba hawa tumii bidhaa za ghalib sababu ni yanga... na mashabiki wa azam ni wachache sana hivyo azam products zina pata hasara sana ni vile bakharesa hasemi tu...Kwani lazma wanunue wao?.
kule yanga wenye akili wapo wawili tu kikwete na sunday manara, yale magodoro kumbe wanalalia utopolo pekee yao??? azam cola kumbe wanakunywa azam pekee??
kizuri utakinywa hata kwa siri