Ni kweli smart TV zinatumia Umeme Mwingi?

Ni kweli smart TV zinatumia Umeme Mwingi?

Hem fikiria, mfano TV yako inatumia 100W kwa saa na unaiwasha tuseme 8hrs(msaa nane) kwa siku.

Haya tujumlishe na kuzidisha, kugawanya na kutoa;
100W x 8hrs ni sawa na 800Whr za power consumption kwa siku moja, sasa kwa vile units za umeme zinapimwa kwa kilowatt inabidi tugawe kwa 1000 ili iwe kwenye kWhr, kumbuka 1unit ni sawa na 1kWhr, hivyo 800Whr ni sawa na 0.8kWhr au 0.8units.

Hivyo, ukitumia TV yako masaa nane kwa siku, utakuwa umetumia 0.8units(haifiki hata unit moja)

Nimetoa mfano wa TV inayotumia 100W kwa saa, jaribu kuangalia ya kwako ina power consumption kiasi gani. Factors zote zinabaki constant (efficiency ya TV yako iwe 100% kitu ambacho sio)

Nikosolewe chap...
 
Mimi binafsi Kwa uchunguzi nilioufanya niligundua smart tv ya mtumba inatumia umeme mwingi kuliko ya dukani

Nilikuwa nikiwasha smart tv ya mtumba Baada ya muda ukigusa Kwa nyuma Kuna kuwa na joto Kali sana kiuhslisia lile joto ni umeme

Baada ya kununua smart tv ya dukani ukiwasha hata kama kutwa mzima ukigusa Kwa nyuma hakuna joto
 
Mimi binafsi Kwa uchunguzi nilioufanya niligundua smart tv ya mtumba inatumia umeme mwingi kuliko ya dukani

Nilikuwa nikiwasha smart tv ya mtumba Baada ya muda ukigusa Kwa nyuma Kuna kuwa na joto Kali sana kiuhslisia lile joto ni umeme

Baada ya kununua smart tv ya dukani ukiwasha hata kama kutwa mzima ukigusa Kwa nyuma hakuna joto
😂Hiyo sio sababu bwana,hiyo Tv ilikuwa unachemka sababu ya vifaa vilivyomo wakati inatengenezwa yani havikuweza kuzuia isichemke ila consumption unakuta iliyokuwa inachemka ilikula umeme kidogo

Ni kama laptop za zamani Technology yake ilikuwa ni lazima zichemke ,nina Laptop pale nyuma ina chuma kinatoa joto
 
Hem fikiria, mfano TV yako inatumia 100W kwa saa na unaiwasha tuseme 8hrs(msaa nane) kwa siku.

Haya tujumlishe na kuzidisha, kugawanya na kutoa;
100W x 8hrs ni sawa na 800Whr za power consumption kwa siku moja, sasa kwa vile units za umeme zinapimwa kwa kilowatt inabidi tugawe kwa 1000 ili iwe kwenye kWhr, kumbuka 1unit ni sawa na 1kWhr, hivyo 800Whr ni sawa na 0.8kWhr au 0.8units.

Hivyo, ukitumia TV yako masaa nane kwa siku, utakuwa umetumia 0.8units(haifiki hata unit moja)

Nimetoa mfano wa TV inayotumia 100W kwa saa, jaribu kuangalia ya kwako ina power consumption kiasi gani. Factors zote zinabaki constant (efficiency ya TV yako iwe 100% kitu ambacho sio)

Nikosolewe chap...
Ok, thanks!
 
Nimesikia mara nyingi watu wakisema kwamba Smart TV zinatumia umeme mwingi, na kama ni kweli, why zitumie umeme mwingi, naomba kupewa elimu, asanten[emoji120]
Mimi ya kwangu inatumia mchemsho.
 
Back
Top Bottom