Hapa umechemka na huu mfano wako tafuta mfano mwingine. Smartphones zinakata moto sana ukiwasha data lakini usipowasha data inakaa na moto the same kama simu ya kitochi. Kwa upande wa tv ni tofauti, kwanza kwa kukuchallenge tu ni kwamba tv haitumii battery.Ni kama simu ya tochi na SMART Phone. Ipi inakaa na chaji mda mrefu
Smart tv au hizi flat tv hazitumii zaidi umeme ukifanisha na matoleo ya awali.Yeah kiwango cha umeme kinaongezeka, lakini kidogo bado , unaweza usimalize hata unit moja kwa siku..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sawa mjomba Arnold Schwarzenegger.Hem fikiria, mfano TV yako inatumia 100W kwa saa na unaiwasha tuseme 8hrs(msaa nane) kwa siku.
Haya tujumlishe na kuzidisha, kugawanya na kutoa;
100W x 8hrs ni sawa na 800Whr za power consumption kwa siku moja, sasa kwa vile units za umeme zinapimwa kwa kilowatt inabidi tugawe kwa 1000 ili iwe kwenye kWhr, kumbuka 1unit ni sawa na 1kWhr, hivyo 800Whr ni sawa na 0.8kWhr au 0.8units.
Hivyo, ukitumia TV yako masaa nane kwa siku, utakuwa umetumia 0.8units(haifiki hata unit moja)
Nimetoa mfano wa TV inayotumia 100W kwa saa, jaribu kuangalia ya kwako ina power consumption kiasi gani. Factors zote zinabaki constant (efficiency ya TV yako iwe 100% kitu ambacho sio)
Nikosolewe chap...
Very true. Haya matv ya mtumba mengi ni ya zamani.Mimi binafsi Kwa uchunguzi nilioufanya niligundua smart tv ya mtumba inatumia umeme mwingi kuliko ya dukani
Nilikuwa nikiwasha smart tv ya mtumba Baada ya muda ukigusa Kwa nyuma Kuna kuwa na joto Kali sana kiuhslisia lile joto ni umeme
Baada ya kununua smart tv ya dukani ukiwasha hata kama kutwa mzima ukigusa Kwa nyuma hakuna joto
Kumbe kuna smart TV za chogo [emoji15]Hiyo Smart tv ni ya chogo au?
Uko sahihi katika hili. Safi dana kwa malezo mazuri.Hem fikiria, mfano TV yako inatumia 100W kwa saa na unaiwasha tuseme 8hrs(msaa nane) kwa siku.
Haya tujumlishe na kuzidisha, kugawanya na kutoa;
100W x 8hrs ni sawa na 800Whr za power consumption kwa siku moja, sasa kwa vile units za umeme zinapimwa kwa kilowatt inabidi tugawe kwa 1000 ili iwe kwenye kWhr, kumbuka 1unit ni sawa na 1kWhr, hivyo 800Whr ni sawa na 0.8kWhr au 0.8units.
Hivyo, ukitumia TV yako masaa nane kwa siku, utakuwa umetumia 0.8units(haifiki hata unit moja)
Nimetoa mfano wa TV inayotumia 100W kwa saa, jaribu kuangalia ya kwako ina power consumption kiasi gani. Factors zote zinabaki constant (efficiency ya TV yako iwe 100% kitu ambacho sio)
Nikosolewe chap...
kuna input na output. kwenye mziki kwa mfano wanasema mziki wangu ni watt5000 hii ni output. ukichungulia kule nyuma huwa wanaandika voltage ya umeme 240v na 65w. sasa hiyo 65w ndio input na ndio nguvu ya umeme. kwenye hesabu zako tumia hii 65w, achana na ile output 5000wHapa ndipo tunahitaji utaalam sasa!! Bado kiza kwetu sie wengine
upo sawa, nimeeleza input na output power hapo juu. zile za kwenye speaker ni output power. Au nguvu ya mdundo,Nadhani hapa kwenye “Watts” panachanganya
Kuna Watts za speaker na Watts za umeme zinazotumika
Sidhani kama zile watts zinaonekana kwenye subwoofer ndio consumption ya umeme
Maana bili zingekuwa balaa
I stand to be corrected
pia na mfumo wa nyaya unaotumia. taa ya waya mrefu itatumia zaidi kuliko taa ya waya mfupi. pamoja na ubora wa taaUkweli ni kwamba kadri inavyokuwa na watts nyingi ndio umeme mwingi unatumika... Changanya na subwoofer unayotumia.... Wengi tunasema TV na redio hazitumii umeme mwingi bila kufanya utafiti.... Changanya na utitiri wa taa kwenye nyumba halafu tuendelee kuambizana stori za vijiweni...
Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
Dah, ila kuna ukweli.Inakuaje unaweza kununua smart tv alafu unawaza umeme!!? Ulitaka itumie nini!!? Waambie wakutengenezee inayo kunywa supu umeme tuuachie friji
Sijawahi hata kuchunguza kua eti ina kula umeme wakati ni kifaa cha umeme[emoji41] alitaka itumie nini, akachomeke waya kwenye tank la maji[emoji2960] napo lazima alalamike " inakunywa maji kuliko ngamia "Dah, ila kuna ukweli.
E3 ni 4k 120hz pia zimekua designed ku operate outdoor hivyo zina Nits nyingi, tv ya Nchi 55 inakula watts 60 mpaka 80 kawaida.Flat screen zinakula umeme sana tu asikudanganye mtu.
Chogo ilikuwa ile kubwa i akuwa na watts 60. Ukiwasha masaa 10 flulizo kwa mtindo wa kitanzania tunaoacha mabeki 3 nyumbani wanashinda kwenye TV, masaa 10 ingekula 0.6 units.
Lkn hizo flat screen ni kitu kingine kabisa. Nina hisense ya kisasa kabisa toleo la mwaka 2022.
Inakula 150w per hour
Hii inahtaji masaa 6 tu na dakika 30 kula unit 1 ya umeme.
Nikimuacha house girl nyumbani akaiwasha masaa 12 tu mfululizo anapiga unit 2
Nikija usiku kuangalia taarifa ya habari imeisha hio. Hizi flat zinatumia bulb nyingi sana kumulikia picha. Ulaji wake sio Rafiki
Nna Sony nchi 32, ya kisasa pia inakula watts 60 per hour.
Naambatanisha energy lebel ya TV hii ya hisense ya 55" ipo rated bad karibu na worseView attachment 2689718
Angalia hapo ipo level 4 wakati worse ni level 5. Kwa ufupi flat screen hasa vioo vikubwa inakula umeme sana.
Ukitaka inayokula vema kisasi hata energy level 3 bei yake ni kali kwakuwa technology yake pia itakuwa sio hii ya LED pengine mini-LEDs ndio energy sever
Kuna smart tv na android tv mkuu. Inawezekana uliyonunua dukani ni mtumba.Mimi binafsi Kwa uchunguzi nilioufanya niligundua smart tv ya mtumba inatumia umeme mwingi kuliko ya dukani
Nilikuwa nikiwasha smart tv ya mtumba Baada ya muda ukigusa Kwa nyuma Kuna kuwa na joto Kali sana kiuhslisia lile joto ni umeme
Baada ya kununua smart tv ya dukani ukiwasha hata kama kutwa mzima ukigusa Kwa nyuma hakuna joto