Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
- Thread starter
-
- #21
Ohoooo......kwani we una umri gn?!Sio tu huleta athari kwenye macho Bali mpaka kwenye mishipa ya fahamu
Matumizi ya simu huenda sambamba Na over concentration ya akili so jiandaeni Na mipasuko ya mishipa ya fahamu nyakati zikisogea mkifikia Umri wetu
Ohoooo......kwani we una umri gn?!
It means una 56 yrsNimebakisha miaka 34 kugonga Karne Moja
Shemejii acha utan bass
Mkuu nina tatizo kama hilo linanisumbua sana ... Dawa gani ulitumia ?Habarini
Wiki tatu zilizopita nilikuwa na hali mbaya macho yalikuwa yananiuma vibaya sana , tatizo kubwa likiwa ni mwanga yaani penye giza maumivu yanapungua
Basi nikaenda hospital nikapimwa nikapewa dawa za kutumia mwezi mzima now sijambo jngawa bado naendelea na dawa
Sasa watu wangu wa karibu wananambia ni hizi simu ndio tatizo mie simu yangu huwa napunguza mwanga hadi mwisho
Je kuna kaukweli?!