Ni kweli smatphone zinaua macho?

Ni kweli smatphone zinaua macho?

Sio tu huleta athari kwenye macho Bali mpaka kwenye mishipa ya fahamu

Matumizi ya simu huenda sambamba Na over concentration ya akili so jiandaeni Na mipasuko ya mishipa ya fahamu nyakati zikisogea mkifikia Umri wetu
Ohoooo......kwani we una umri gn?!
 
Ukitaka kuona, siku kichwa kinakuuma anza kuchati utaona maumivu makali kwenye mishipa ya macho kwa ndani na kichwa huongeza maumivu mara mbili zaidi
 
Zaidi ya kuchungulia smartphone kuna vingine vya ziada unachungulia...


Cc: mahondaw

Hakii kwa namna moja ama nyingine zinaua love.. Kuna kipindi kimeo changu kileee kiliharibika almost 2 months nikawa situmii ka smartphone kangu.... sasa ikawa ikifika usiku Ile nikizima tu taa nilikua naumia sana macho kwa ndani nikiwasha siumii... nikizima yanauma haswaaaa.. cm ivopona mpaka waleo sioni hio hali.
 
Habarini
Wiki tatu zilizopita nilikuwa na hali mbaya macho yalikuwa yananiuma vibaya sana , tatizo kubwa likiwa ni mwanga yaani penye giza maumivu yanapungua
Basi nikaenda hospital nikapimwa nikapewa dawa za kutumia mwezi mzima now sijambo jngawa bado naendelea na dawa
Sasa watu wangu wa karibu wananambia ni hizi simu ndio tatizo mie simu yangu huwa napunguza mwanga hadi mwisho
Je kuna kaukweli?!
Mkuu nina tatizo kama hilo linanisumbua sana ... Dawa gani ulitumia ?
 
Back
Top Bottom