Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Ni kweli sisi kwa sisi hatufahamianani na pia kazi zetu hazitaki tufahamiane
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa !
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi , unafanya nini !
Hawaaminiani , hawajuani kivile !
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu, kwa vipaumbele vya maisha sasa mnapata wapi mda wa kujadili mambo yasiyokuwa na faida kwa kiwango hiki?