aiseee [emoji1][emoji1]Element, Triple 7 hapo thatha Napendelea kwenda kusalimu Namaqualand nipate zangu Namaqua sweet red wine au savanna. Mziki kila nyimbo naimba nakucheza mpaka kiingilio changu kiishe ha ha ha ha ha ha isibaki hata mia ya chenchi...
Napenda mziki anywayaiseee [emoji1][emoji1]
Element, Triple 7 hapo thatha Napendelea kwenda kusalimu Namaqualand nipate zangu Namaqua sweet red wine au savanna. Mziki kila nyimbo naimba nakucheza mpaka kiingilio changu kiishe ha ha ha ha ha ha isibaki hata mia ya chenchi...
hongera, mm pia napenda music na kudance [emoji4]Napenda mziki anyway
Kumbe tuko wengi eehhongera, mm pia napenda music na kudance [emoji4]
Hivi yaani BAK,nacheza na kuimba nyimbo zote hata ambazo sizijui mwenzangu,ilimradi tu nifurahi.Kwi kwi kwi kwi kwi eti unaimba na kucheza hadi kiingilio chako kiishe LOL!