Ni kweli unapata raha

Ni kweli unapata raha

huwa nashuka kilabuni mitaa ya mabatini mbeya.....bila kusahau kamba za kufunga miguuni.....nagonga chimpumuu ya kutosha then narud geto na mama muuza....nampa mambo asubuh anarud kwake
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Element, Triple 7 hapo thatha Napendelea kwenda kusalimu Namaqualand nipate zangu Namaqua sweet red wine au savanna. Mziki kila nyimbo naimba nakucheza mpaka kiingilio changu kiishe ha ha ha ha ha ha isibaki hata mia ya chenchi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom