Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante kwa kunifahamisha baba, si kwamba nilitaka kunyooka,ila nimeuliza ili nijue manake watu wanasema hivyo.Makubwa, hivi hawa MoEVT wana mpango gani?
Binti yangu, hakuna uhusiano wa maumivu ya kiuno na kutokufanya ngono. Kama kiuno kinakuuma nenda hospitali usiende kutafuta wa "kukinyoosha" sawa eeh?
Wadau naombeni msaada kwa hili,sielewi kama ni kweli usiposex mda mrefu kiuno kinasumbua au yanakuwa ni maradhi mengine tu,