GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Kama Vitabu vyetu vya Dini Quran na Biblia vinatufundisha kuwa na Maadili, kuheshimiana, kuvumiliana, Kusameheana na Kutotukanana iweje Wewe Mwanadamu uende navyo Kinyume kwasababu tu ya Maslahi yako ya Siasa?" amesema Rais Mmoja wa duniani ambaye kwa sasa GENTAMYCINE nimemsahau Jina ila najua Alifura (Alifoka) hivi Jana akiwa mita chache tu na Nyumba yake, Zinakotuzwa Hela za Walipa Kodi nchini na Wizara husika ya Mawokoto hayo.
Ukitaka Wananchi wa Barani Afrika wasikuseme au wasikuchukie jitahidi sana ufanye 'Walk the Talk' katika Utendaji wako (kwa yale ya Kimaendeleo unayoyahubiri Kwao Kutwa) na siyo 'Talk the Walk' ili Uwapumzishe Kukushambulia kwa Ukpsoaji ambao Wengine tuna (wana) PhD (Doctorate) yake.
Kwa mfano ukisema kuwa hupendi Rushwa na Ufisadi basi Waafrika (Wananchi) waone kuwa hata Wewe Mwenyewe huibi, hujengi Mahekalu na hufichi Fedha zako Ulaya, Asia na Uarabuni.
Ukitaka Wananchi wa Barani Afrika wasikuseme au wasikuchukie jitahidi sana ufanye 'Walk the Talk' katika Utendaji wako (kwa yale ya Kimaendeleo unayoyahubiri Kwao Kutwa) na siyo 'Talk the Walk' ili Uwapumzishe Kukushambulia kwa Ukpsoaji ambao Wengine tuna (wana) PhD (Doctorate) yake.
Kwa mfano ukisema kuwa hupendi Rushwa na Ufisadi basi Waafrika (Wananchi) waone kuwa hata Wewe Mwenyewe huibi, hujengi Mahekalu na hufichi Fedha zako Ulaya, Asia na Uarabuni.