Kilaza kabisa sasa hapo umeandika nini?Kwa Tanzania ni Magufuli tu na visiwani ni Hussein tu
Halafu comment zake upupu mtupuHebu fikiria mtu yupo kuanzia saa kumi na mbili asubuhi hadi usiku wa manane kila nyuzi yupo muda wote...
Halafu mtu na akili zako upoteze muda naye kweli?
Hili nalo nenoNaona kufahamu waloifuatilia ufunguzi wa kampeni wa Zito Kigoma kama alimwombea kura mgombea wa ACT?!