Uchaguzi 2020 Ni kweli wagombea urais sasa wapo wawili tu

Mzee wa mdomo wazi kama fisi anahema kama mamba aliyeachwa mchangani na jua linamparama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lile propesa hovyo sana!
 
Wazo fikirishi
Kipindi Mangula kabwia sumu Membe kachero mbobezi alikua nje ya nchi.

Kipindi hichi kachero mbobezi yupo nje Kuna kunguru mmoja kaamua kwenda kujifungia kwao huko.

Na najua leo tarehe 15/09 Hatotoka kabisa chumbani ata chakula hatokula. Haumwamini ata msaidizi wake.

Nahisi anajua yeye ndo target.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…