Uchaguzi 2020 Ni kweli wagombea urais sasa wapo wawili tu

Uchaguzi 2020 Ni kweli wagombea urais sasa wapo wawili tu

Wazo fikirishi
Kipindi Mangula kabwia sumu Membe kachero mbobezi alikua nje ya nchi.

Kipindi hichi kachero mbobezi yupo nje Kuna kunguru mmoja kaamua kwenda kujifungia kwao huko.

Na najua leo tarehe 15/09 Hatotoka kabisa chumbani ata chakula hatokula. Haumwamini ata msaidizi wake.

Nahisi anajua yeye ndo target.
 
Back
Top Bottom