Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaa habari hizi wazisome THE BIG SHOW The Boss Ritz FaizaFoxyChama cha All Muslims of Tanganyika, ambao wengi wao walikuwa waasisi wa chama cha TAA, August 1959 walianzisha harakati kushinikiza uhuru ucheleweshwe hadi kiwango cha waislamu kupata elimu kiongezeke kilingane na cha wakristo. Kupitia TANU, iliandaa jumuiya ya mashekhe na kutoka hadharani kupinga kauli ya waislamu wenzao.
Source: John Iliffe
The Modern History of Tanganyika
View attachment 2785008View attachment 2785009
@FaizaFoxyAsiione Faiza hii