ni kweli walopata div 1-3 hawatochaguliwa kwenda chuo?

Watoto wa siku hizi uwezo wa kufatilia mambo ni mdogo saaaana!enzi hizo sisi simu hatuna lakini tuko full updated.sasa dogo anashindwa hata kuingia web ya wizara husika akachek taarifa ramsi
 
Watoto wa siku hizi uwezo wa kufatilia mambo ni mdogo saaaana!enzi hizo sisi simu hatuna lakini tuko full updated.sasa dogo anashindwa hata kuingia web ya wizara husika akachek taarifa ramsi

Umenena mkuu,unakumbuka hata matokeo ya necta yalikua yanabandikwa halmashauri mtu unasafiri kwenda kuangalia.
 
Nenden advance vijana diploma mtakuja kuhangaishw sna badae ktk mkopo sbbu sa hv mpo weng mno hvyo bac pigeni msuli wa kiume mwende UDSM(CoET) pale yan ni bonge la chuo,hlaf tena kumbuken nyie ni wanaume kwhyo kwend chuo mi naona kama unajipotezea heshima yako
 

ushaur sawa na jina, safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…