ni kweli walopata div 1-3 hawatochaguliwa kwenda chuo?

ni kweli walopata div 1-3 hawatochaguliwa kwenda chuo?

Battery low

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
315
Reaction score
27
Je ni kwel form 4 leavers 2013 walopata div 1-3 hawatochaguliwa chuo hata kama ulichagua chuo? nimesikia kutoka kwa frnd anasema wametangaza kwenye redio,je ni kwel wametangaza hvyo au
 
Yan namaanisha form 4 leaver 2013 watachaguliwa advanc walopata hzo div hata kama walichagua kwenda chuo
 
Yan namaanisha form 4 leaver 2013 watachaguliwa advanc walopata hzo div hata kama walichagua kwenda chuo

Hebu chaji kwanza betri yako,!

Form four wanachaguliwa kwenda vyuo gani? Na wanachaguliwa na nani?
 
form4 leavers wanachaguliwa vyuo kama must,dit,atc,sasa kijana kaulza 2 kuwa ni kwel hvy alvyosikia au! ila mm naona mnamchanganya 2
 
Jamani acheni kumponda yeye anamaanisha wale waliofaulu kwa div 1-3 lakini hawataki kwenda ALEVEL wakachagua kwenda vyuo moja kwa moja kama Arusha tech, DIT, MUST,Chuo cha maji n.k yeye kasikia kuwa mwakahuu hawatapelekwa ina maana wote wataenda Alevel hata kama ulichagua kwenda chuo. wenye majibu basi mumjuze na hata sisi nivizuri kujua kama huo utaratibu wanaufuta au? maana ni mzuri kuliko huu wa alevel.
 
sijaelewa bado

thread yako ni INCOMPLETE.SASA WAENDE WAPI KAMA SI CHUO?

Uko sahihi mtoa mada, waliopata 4 na 0 ndio wataenda chuo.
Waliopata I-3 warudi kijijini wakalime

Kwa hiyo walopata div 4 na zero ndo watakaochaguliwa kwenda chuo?

Acha uoga kijana.Nenda advance

Hebu chaji kwanza betri yako,!

Form four wanachaguliwa kwenda vyuo gani? Na wanachaguliwa na nani?

Comprehension shida sana kumbe bongo...
Nimepata jibu kwa nini wanetu wanaingia Form I bila kujua kusoma vizuri...

Lile swali la "UFAHAMU" la kiswahili wamelipotea...
 
Comprehension shida sana kumbe bongo...
Nimepata jibu kwa nini wanetu wanaingia Form I bila kujua kusoma vizuri...

Lile swali la "UFAHAMU" la kiswahili wamelipotea...

Amei-edit thread yake jana haikuwa hivi alikuwa hajayapanga mawazo yake katika mtiririko unaoleweka.

So Njunwa usikimbilie kutujudge kwamba hatuna ufahamu
 
Last edited by a moderator:
Amei-edit thread yake jana haikuwa hivi alikuwa hajayapanga mawazo yake katika mtiririko unaoleweka.

So Njunwa usikimbilie kutujudge kwamba hatuna ufahamu

Sikuliona hilo ndo maana... nikashangaa kwa nn watu ni wagumu kusoma na kuelewa
Natumia JF Android app lakini hainioneshi kwamba post imekua edited...
Labda pia na hii app inaitaji modifications

Peace and love
 
Last edited by a moderator:
Jaman mi nahc mushamuelewa sasa so kama ni kwel bac mtujuze na mapemaaa
 
Ni kwel jana niliiedit ila mi sikutegemea kama hamtoelewa vile nilivyoandika,poleni kwa usumbufu wakuu
 
Comprehension shida sana kumbe bongo...
Nimepata jibu kwa nini wanetu wanaingia Form I bila kujua kusoma vizuri...

Lile swali la "UFAHAMU" la kiswahili wamelipotea...
umerukia treni mbele..ka edit jana bwana..yaani watu hamsomi kwa akini kweli mnakurupuka tu.hivi nimepata jibu kwanini watu wanaingia form 1 huku hawajui kupitia mambo ka umakini na kusoma...""Last edited by Battery low; Yesterday at 15:41.
 
Back
Top Bottom