Ni kweli WASAFI wamekuwa nominated kwenye Grammy? Wataweza kweli?

Tunafatilia kwa uzuri
 
Haters bwana, kwanza kuchaguliwa tu kati ya wengi ni ushindi toshaa
 
akishinda yeyote kati yao humu ndani hapatakalika... nyie endeleeni kuponda
ogopa sana mtu ambaye kila cku unamsema vibaya afu anakukalia kimya
 
Mzee me siyo boya Kama wewe[emoji51]
 
Hiyo album ya Rayvanny Ni ipi?

Bongo nzima hakuna album Bora Kama African Giant ya Burnaboy Ila Hakushinda Grammy.
Kuna EP yake alitoa inaitwa flower kiswahili chake maua ndio iliyoingia mimi nimepost kama ilivyotolewa na Grammy kwa hiyo hata mimi mgeni kwenye hivyo vitu kwa hiyo tusubirie wataalam wa mambo wafafanue kimetokea nini mpaka kale ka album ka harmonize kasiwepo
 
Mkuu usiwe na hofu Tunafatilia kwa ukaribu, sio kila ambacho hakipo katika website basii hakipo kabisa, inawezekana sio right time kwao kupost, muhimu ni kwamba Hawa GRAMMY ndio wamemfanyia Interview Diamond na kumsifia Sana kuwa ni mchapa kazi na ameupeleka mziki wa East Africa duniani(ni wachache waliofanya hivi ) Sasa kama wanaweza kumfanyia interview vip ushangaeee akiwaaa nominated hapo badaeee? unafikiri ni wasaniiii wangapi Africa wamepataaa shavuuu la kufanyiwaaa interview na Grammy? mimi nafikir Diamond anakwendaaa vizuri Sana
 
Ila we jamaa huwa mnafiki sana unadhan wa2 hawakuoni huwa unajidhihirisha kabisaa [emoji125][emoji125][emoji125]
Acha kujifanya unawajua jua watu me sio chawa msinilazimishe nisifie pasiposifika.

Halafu chawa mwenzio inno kalike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…