Ni kweli WASAFI wamekuwa nominated kwenye Grammy? Wataweza kweli?

Ingekuwa vizuri ungeweka link ya hiyo interview
Grammy hawanaga hizo longolongo na hawafanyi mambo kwa kificho acheni sifa za kijinga
 
Acha taralila nyingi, unazifahamu tuzo za grammy ?
 
raia wanataka link ya mahojiano kati ya grammy na mondi

ama kweli mziki mnene.......
 
Halafu Grammy wanaongeza viewers kwa kuwaingiza nchi za Africa lakini ukweli hawatoi uzito kabisa zawadi wanazitolea kama wale wasanii wa kupasha jukwaa saa 12
 
Kitendo cha waokuwa nomineted pekeyake inaonyesha wameweza hatawasipo pata tunzo.
 
Dah nimekaa nimekumbuka jinsi JK alivyokuwa anazunguka na ndomo kule marekani sijui ndio kumtafutia produza sijui lebo aaaaahh mamaeee maisha yanaenda kasi sana.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ comments za huu Uzi..ama Kweli mchawi si lazima aroge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…