ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Umepatia bando si Mali yako mkuu! !Samahani,ila mi nilipiga kura hivi!! Sijui nimepatia?View attachment 1601305
NdiyoWakuu Amani Iwe nanyi.
Nimeona Post Za Wasafi Kuwa Nominated Kwenye Grammy Awards 2021 lakini kila nikitafuta kwenye Official Accounts Za Grammy Sioni.
Ni Kweli Kwamba
1.Diamond Platnumz
2.RAYVANNY
3.ZUCHU
Wote hawa Wamekuwa Nominated Kwenye Grammy Awards? na Wanashindana na Nani?
Wataweza Kweliiiiii?
Kama aliweza kuperform Mara 2 kwenye uzinduzi wa michuano ya CAF (AFCON) pamoja na big brother atashindwa vip kwa Hilo?Labda huyu awe amekufa...
Anaitwa Angelique Kidjo kutokea Benin , mwaka huu ndio alibeba tuzo ya Grammy akimshinda BurnaBoy.
Na hiyo tuzo ameshaibeba Mara 4 na kuwa nominated 9 times.
Sasa Huyo diamond sijui atatusulia wapi mbele ya hivi vichwa.View attachment 1601575
Stupid ..Kama aliweza kuperform Mara 2 kwenye uzinduzi wa michuano ya CAF (AFCON) pamoja na big brother atashindwa vip kwa Hilo?
Kim Jong Jr Kwanza nashukuru kwa kunitusi lakini pia hoja ujaelewa Hakuna mtu yoyote aliyeamini Kama ulivyokuwa wewe kutatokea msanii wa Kitanzania kufanya show Afcon lakini kupitia Diamond imewezekana.Diamond huyu huyu unayesema hawezi kushinda Grammy ameweza kufanya interview na hao Grammy na amekuwa msanii wa kwanza wa Africa kufanya interview na Grammy pia Diamond mwaka Huu aliandikwa kwenye jarada kubwa la billboard la Marekani lakini huyo huyo Diamond ameshirikishwa kwenye album ya msanii mkubwa wa Marekani mwenye tuzo 5 za Grammy Alicia key.Kupitia Hizo achievement anashindwa vipi kushinda Grammy au mwenzetu unamchukuliaje Diamond?Stupid ..
How can you relate AFCON na Grammy performance !!!
You must be insane to relate the two.
Go kiss your ass.
Diamond Platnumz On Breaking Into The U.S. MarketView attachment 1601735raia wanataka link ya mahojiano kati ya grammy na mondi
ama kweli mziki mnene.......
Diamond Platnumz On Breaking Into The U.S. MarketView attachment 1601737Ingekuwa vizuri ungeweka link ya hiyo interview
Grammy hawanaga hizo longolongo na hawafanyi mambo kwa kificho acheni sifa za kijinga
Nimekuwekea link ukimaliza toa maoni yakoIngekuwa vizuri ungeweka link ya hiyo interview
Grammy hawanaga hizo longolongo na hawafanyi mambo kwa kificho acheni sifa za kijinga
Labda kama grammy inasimamiwa na CCMHamna kitu wanajimwambafai tu Grammy aingie mond
Franky Samuel jamaa akirudi Tena nitag
Hii comment yako nahisi umeisahau [emoji1][emoji1][emoji16]Ingekuwa vizuri ungeweka link ya hiyo interview
Grammy hawanaga hizo longolongo na hawafanyi mambo kwa kificho acheni sifa za kijinga
🤣🤣🤣🤣🤣Hii comment yako nahisi umeisahau [emoji1][emoji1][emoji16]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Naona unajichanganya hivi unakumbuka kweli hata title ya hii thread au unachangiachangia upupu wakoNa kitu ambacho hujui hawajaw nominated hiyo wamependekezwa na hapo kinachofuat ni member wa Grammy (only) ndo watapiga kura nani aingie kwenye nominations na nani atoke. Wakishapiga kura ndo inakuja nominations sasa na huo ndo utaratibu wa Grammy kila mwaka
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hahaha ni kituko mkuuBest music world album
Hahaha
Hunaakili wewe muanzisha uzi mwenyew hajua kinachoendelea ameuliza hana taarifa kamilNaona unajichanganya hivi unakumbuka kweli hata title ya hii thread au unachangiachangia upupu wako
Hawajawanominated : wamependekezwa ,unamaanisha Nini hapo?
Naona hujielewi wala hujui huu mjadala ulianzia wapu
[emoji2][emoji2][emoji16]huyu Jamaa mama ake aliliwa na diamond alivyoenda kweny show ndo maan hataki hata kusikia jina la diamond yaan anamakasiliko sio ya nchii hiiMbona mzee unatukana sana
Mnaudhi sana kutuletea hoja za uongo na zakupotosha jamii halafu mkieleweshwa mnakuwa wabishi hamna jinsi matusi yatawahusu sana nyie chawaMbona mzee unatukana sana
Kwa taarifa yako my beloved mummy passed away 1998 huko continue to RIP my lovely mummy.unamakasiliko kwan diamond alipiga mimba mother wako nini inawezekan mdog wako ni mtoto wa diamond
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
unamakasiliko kwan diamond alipiga mimba mother wako nini inawezekan mdog wako ni mtoto wa diamond
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]unamakasiliko kwan diamond alipiga mimba mother wako nini inawezekan mdog wako ni mtoto wa diamond [emoji23][emoji23][emoji16]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app