Ni kweli WASAFI wamekuwa nominated kwenye Grammy? Wataweza kweli?

Ni kweli WASAFI wamekuwa nominated kwenye Grammy? Wataweza kweli?

Wakuu Amani Iwe nanyi.

Nimeona Post Za Wasafi Kuwa Nominated Kwenye Grammy Awards 2021 lakini kila nikitafuta kwenye Official Accounts Za Grammy Sioni.

Ni Kweli Kwamba

1.Diamond Platnumz
2.RAYVANNY
3.ZUCHU

Wote hawa Wamekuwa Nominated Kwenye Grammy Awards? na Wanashindana na Nani?

Wataweza Kweliiiiii?
Ndiyo
 
Labda huyu awe amekufa...

Anaitwa Angelique Kidjo kutokea Benin , mwaka huu ndio alibeba tuzo ya Grammy akimshinda BurnaBoy.

Na hiyo tuzo ameshaibeba Mara 4 na kuwa nominated 9 times.

Sasa Huyo diamond sijui atatusulia wapi mbele ya hivi vichwa.
IMG_20201016_004820.jpeg
 
Labda huyu awe amekufa...

Anaitwa Angelique Kidjo kutokea Benin , mwaka huu ndio alibeba tuzo ya Grammy akimshinda BurnaBoy.

Na hiyo tuzo ameshaibeba Mara 4 na kuwa nominated 9 times.

Sasa Huyo diamond sijui atatusulia wapi mbele ya hivi vichwa.View attachment 1601575
Kama aliweza kuperform Mara 2 kwenye uzinduzi wa michuano ya CAF (AFCON) pamoja na big brother atashindwa vip kwa Hilo?
 
Kama aliweza kuperform Mara 2 kwenye uzinduzi wa michuano ya CAF (AFCON) pamoja na big brother atashindwa vip kwa Hilo?
Stupid ..


How can you relate AFCON na Grammy performance !!!

You must be insane to relate the two.


Go kiss your ass.
 
Stupid ..


How can you relate AFCON na Grammy performance !!!

You must be insane to relate the two.


Go kiss your ass.
Kim Jong Jr Kwanza nashukuru kwa kunitusi lakini pia hoja ujaelewa Hakuna mtu yoyote aliyeamini Kama ulivyokuwa wewe kutatokea msanii wa Kitanzania kufanya show Afcon lakini kupitia Diamond imewezekana.Diamond huyu huyu unayesema hawezi kushinda Grammy ameweza kufanya interview na hao Grammy na amekuwa msanii wa kwanza wa Africa kufanya interview na Grammy pia Diamond mwaka Huu aliandikwa kwenye jarada kubwa la billboard la Marekani lakini huyo huyo Diamond ameshirikishwa kwenye album ya msanii mkubwa wa Marekani mwenye tuzo 5 za Grammy Alicia key.Kupitia Hizo achievement anashindwa vipi kushinda Grammy au mwenzetu unamchukuliaje Diamond?
 
Na kitu ambacho hujui hawajaw nominated hiyo wamependekezwa na hapo kinachofuat ni member wa Grammy (only) ndo watapiga kura nani aingie kwenye nominations na nani atoke. Wakishapiga kura ndo inakuja nominations sasa na huo ndo utaratibu wa Grammy kila mwaka

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Naona unajichanganya hivi unakumbuka kweli hata title ya hii thread au unachangiachangia upupu wako
Hawajawanominated : wamependekezwa ,unamaanisha Nini hapo?

Naona hujielewi wala hujui huu mjadala ulianzia wapu
 
Naona unajichanganya hivi unakumbuka kweli hata title ya hii thread au unachangiachangia upupu wako
Hawajawanominated : wamependekezwa ,unamaanisha Nini hapo?

Naona hujielewi wala hujui huu mjadala ulianzia wapu
Hunaakili wewe muanzisha uzi mwenyew hajua kinachoendelea ameuliza hana taarifa kamil

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji16.png
emoji23.png
unamakasiliko kwan diamond alipiga mimba mother wako nini inawezekan mdog wako ni mtoto wa diamond
emoji23.png
emoji23.png
emoji16.png


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa taarifa yako my beloved mummy passed away 1998 huko continue to RIP my lovely mummy.
Domo wakati huo anauza mafuta shell, Domo atawafira sana kumamaezenu fanyeni kazi mjitegemee, mmekuwa chawa plus makupe hadi mnaudhi
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji16.png
emoji23.png
unamakasiliko kwan diamond alipiga mimba mother wako nini inawezekan mdog wako ni mtoto wa diamond
emoji23.png
emoji23.png
emoji16.png


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]unamakasiliko kwan diamond alipiga mimba mother wako nini inawezekan mdog wako ni mtoto wa diamond [emoji23][emoji23][emoji16]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom