Yaani kiwango chako cha kufikiri kiko chini siku hizi mpaka unakera. Ukitafuta mishipa kwa muda mrefu mkono mmoja unakuwa mweusi. Na huo utaalamu wa kugeiza Canula uko India tu?Bisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.
Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?
Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
Halafu mbishi tu wakati wakati hujawahi hata kunywesha mtoto dawa ya kikohozi!!Bisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.
Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?
Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
nimeona mitandaoni nikacheka sana na mwenyewe akafuta hapo hapo kuona kumbe wabongo sio bongo lala
Hahahahahaha sina mbavu mieIla sheteni ni mbayaaa..Anakufanya unatenda dhambi anakuweka paleee juuuuu kila mtu ana kuona ndo anakuachia hapo unaangukaje sasa?ila ni mjinga alikosa hata nesi wa kumwekea canula akampa elfu20 tu.
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]daaah nimechekaKuna mtu alitafuta KIKI sasa kapata GOAL KICK
Mkuu. Haijalishi hata kama tiba utakuwa unaipata ghetoni kwako. Cannula inakuwa inserted kuelekea upande wa mwili wako sio upande wa kidole, hii inatokana na mfumo wa mzunguko wa damu wa binadamu ulivyo, kwenye picha aliyopost wastara imeonyesha cannula iko inserted kuelekea upande wa kidole hivyo dripu itakuwa inakinzana na blood flow. Wastara atakuwa ame fake hii kitu unless mfumo wake wa mzunguko wa damu utakuwa tofauti na binadamu wengine nitakubaliana na nilichokiona.issue sio kuzingua ila tumuulize wastara hii tiba anapata wapi? hii ndio itakuwa pivot yetu ya kuendelea na huu mjadala otherwise tunamuonea
Hapana Dada watu hawsongelei eneo bali direction ya flow. Yaan imewekwa kwamba dawa iende vidolen badala ya kwenda juu beganMama yangu walipokosa mishipa drip lilipitishwa hapo hapo.
Hata laws za physics atakua anakinzana nazo.. sio bureMkuu. Haijalishi hata kama tiba utakuwa unaipata ghetoni kwako. Cannula inakuwa inserted kuelekea upande wa mwili wako sio upande wa kidole, hii inatokana na mfumo wa mzunguko wa damu wa binadamu ulivyo, kwenye picha aliyopost wastara imeonyesha cannula iko inserted kuelekea upande wa kidole hivyo dripu itakuwa inakinzana na blood flow. Wastara atakuwa ame fake hii kitu unless mfumo wake wa mzunguko wa damu utakuwa tofauti na binadamu wengine nitakubaliana na nilichokiona.
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yanii me bado sipati jibuu... Amemtapeli mpaka rais