Ni kweli Watanzania waliopo Kampala ni wachache ukiwalinganisha na watu toka mataifa mengine jirani na Uganda?

Ni kweli Watanzania waliopo Kampala ni wachache ukiwalinganisha na watu toka mataifa mengine jirani na Uganda?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Nilifanya "karesearch" isiyo rasmi, nikabaini kuwa ingawa Watanzania nao pia wapo Kampala, lakini hawafikii idadi ya watu kutoka Kenya, Zambia, Zimbabwe, South Africa, na Namibia.

Niliowaona wapo kwa uchache ni Wanigeria, Watanzania, Wamalawi, na Wasouth Sudan. Mataifa mengine, kama sikosei, sijabahatika "kukutana" nao, au sikufahamu utaifa wao(sikuwatafiti utaifa wao).

Japo haikuwa research rasmi, lakini inaweza ikawa inaakisi ukweli?

1. Inawezekana Kampala iwe na Wanigeria wachache wakati kwa asili ni wasaka fursa, isitoshe nchi yao ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watu barani Afrika?

2. Inawezekana Watanzania, ambao Waganda ni kama ndugu zao, wawe wachache Kampala?

Tafadhali nitie moyo kwa kuniambia kuwa hako kautafiti kamekosewa. Vinginevyo, nitahisi Watanzania "tumepunjwa"!
 
Nilifanya "karesearch" isiyo rasmi, nikabaini kuwa ingawa Watanzania nao pia wapo Kampala, lakini hawafikii idadi ya watu kutoka Kenya, Zambia, Zimbabwe, South Africa, na Namibia.

Niliowaona wapo kwa uchache ni Wanigeria, Watanzania, Wamalawi, na Wasouth Sudan. Mataifa mengine, kama sikosei, sijabahatika "kukutana" nao, au sikufahamu utaifa wao(sikuwatafiti utaifa wao).

Japo haikuwa research rasmi, lakini inaweza ikawa inaakisi ukweli?

1. Inawezekana Kampala iwe na Wanigeria wachache wakati kwa asili ni wasaka fursa, isitoshe nchi yao ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watu barani Afrika?

2. Inawezekana Watanzania, ambao Waganda ni kama ndugu zao, wawe wachache Kampala?

Tafadhali nitie moyo kwa kuniambia kuwa hako kautafiti kamekosewa. Vinginevyo, nitahisi Watanzania "tumepunjwa"!
Sidhan kama Uganda Kuna fursa sana. Vipi kuhusu uwepo wa wakenya zambia,malawi na mozambique versus watanzania
 
Nilifanya "karesearch" isiyo rasmi, nikabaini kuwa ingawa Watanzania nao pia wapo Kampala, lakini hawafikii idadi ya watu kutoka Kenya, Zambia, Zimbabwe, South Africa, na Namibia.

Niliowaona wapo kwa uchache ni Wanigeria, Watanzania, Wamalawi, na Wasouth Sudan. Mataifa mengine, kama sikosei, sijabahatika "kukutana" nao, au sikufahamu utaifa wao(sikuwatafiti utaifa wao).

Japo haikuwa research rasmi, lakini inaweza ikawa inaakisi ukweli?

1. Inawezekana Kampala iwe na Wanigeria wachache wakati kwa asili ni wasaka fursa, isitoshe nchi yao ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watu barani Afrika?

2. Inawezekana Watanzania, ambao Waganda ni kama ndugu zao, wawe wachache Kampala?

Tafadhali nitie moyo kwa kuniambia kuwa hako kautafiti kamekosewa. Vinginevyo, nitahisi Watanzania "tumepunjwa"!
Ukikutana na Mnyambo unaweza kumtofautishaje na Waganda ?
 
Ukikutana na Mnyambo unaweza kumtofautishaje na Waganda ?
Lugha tu, Kiswahili
1. Wahaya na Wanyambo wanashabihiana na Waganda, lakini ukiwauliza, hawaoni aibu kukiri ukweli kuwa wao ni Watanzania

2. Waganda na Watanzania wanaishi mpakani kama Mutukula wanaongea lugha za pande zote mbili, Kiswahili, Kiganda, Kihaya, n.k. Ili ujue Uraia wa hao watu sharti uwaulize

3. Niliowahusisha kwenye karesearch kwangu ni wale tu waliojitambulisha Uraia wao, na wengi walikuwa wa nchi nilizozitaja.
 
Kampala nimefika mara kadhaa kiukweli sikuona cha maana sana hizo fursa ukiacha mambo ya nguo n.k sikuona kingine, i stand to be corrected, nilikuwa naenda pale mgahawa wa watanzania nakuta watu wachaaaaache yaani, yule dada mzanzibar na waiter wake jamaa mweusi hivi nadhani hii ni sababu kubwa kwa hilo unaloulizia.

Napandisha picha zinakataa kwa sasa, mgahawa uko opposite na barabara ya kuelekea mukwano mall kutoka bakulli kwenye ile bus station ya namirembe.
 
Kampala nimefika mara kadhaa kiukweli sikuona cha maana sana hizo fursa ukiacha mambo ya nguo n.k sikuona kingine, i stand to be corrected, nilikuwa naenda pale mgahawa wa watanzania nakuta watu wachaaaaache yaani, yule dada mzanzibar na waiter wake jamaa mweusi hivi nadhani hii ni sababu kubwa kwa hilo unaloulizia.
Huo mgahawa uko wapi mkuu? Unaitwaje?
 
Huo mgahawa uko wapi mkuu? Unaitwaje?
Nimetoa direction uchwara hapo juu ila usipoelewa ukifika pale usawa wa mukwano mall njia ya kutoka downtown ambayo kwa kuja juu inaelekea mitaa ya mbele wakiso n.k kata kushoto kuna barabara inapandisha juu ukifika mbele kidogo kuna muhindi anauza mitungi ya gas ukishapita hapo, unakata kulia utaona swahili restaurant.
 
Nimetoa direction uchwara hapo juu ila usipoelewa ukifika pale usawa wa mukwano mall njia ya kutoka downtown ambayo kwa kuja juu inaelekea mitaa ya mbele wakiso n.k kata kushoto kuna barabara inapandisha juu ukifika mbele kidogo kuna muhindi anauza mitungi ya gas ukishapita hapo, unakata kulia utaona swahili restaurant.
🙏🙏🙏
Nimepita "leo" maeneo ya Mukwano Mall.
 
Umefungua uzi hujamtagi POPOMA GENTAMYCINE wa uganda ndio uwanja wake wa nyumbani.
Sawa ngoja aje mwenyewe akupopoe kwa kutumia keyboard mimi huyoo nakuachia vita vya majimaji 🤣🤣🤣
 
Nilifanya "karesearch" isiyo rasmi, nikabaini kuwa ingawa Watanzania nao pia wapo Kampala, lakini hawafikii idadi ya watu kutoka Kenya, Zambia, Zimbabwe, South Africa, na Namibia.

Niliowaona wapo kwa uchache ni Wanigeria, Watanzania, Wamalawi, na Wasouth Sudan. Mataifa mengine, kama sikosei, sijabahatika "kukutana" nao, au sikufahamu utaifa wao(sikuwatafiti utaifa wao).

Japo haikuwa research rasmi, lakini inaweza ikawa inaakisi ukweli?

1. Inawezekana Kampala iwe na Wanigeria wachache wakati kwa asili ni wasaka fursa, isitoshe nchi yao ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watu barani Afrika?

2. Inawezekana Watanzania, ambao Waganda ni kama ndugu zao, wawe wachache Kampala?

Tafadhali nitie moyo kwa kuniambia kuwa hako kautafiti kamekosewa. Vinginevyo, nitahisi Watanzania "tumepunjwa"!
Sasa Kampala kuna nini cha kushawishi watu kukimbilia huko!? Nchi za kidikteta siyo nchi za kukimbilia wala kuwekeza.
 
Sasa Kampala kuna nini cha kushawishi watu kukimbilia huko!? Nchi za kidikteta siyo nchi za kukimbilia wala kuwekeza.
1. Kampala ni bora kuliko Kenya?
2. Kampala ni bora kuliko South Africa?
3. Kampala ni bora kuliko Namibia?
4. Kampala ni bora kuliko Zambia?
5. Tanzania ni bora kuliko hayo mataifa yote manne hapo juu?

Kwa nini basi watu wengi "niliokutana" ni wa hayo mataifa na si Watanzania?

Kwa Watanzania wachache niliokutana nao huku wamekosa nini "nyumbani" hata wakaja huku?

Mimi nijuavyo ni kwamba sababu zinazoweza kufanya mtu asafiri ni mbili: "shida" au "raha".
 
Hata shida nayo inaweza ikakufanya utembee sana mkuu!
Sure mimi nashauri kenya, nimezunguka sana kenya ila kutoa northern part upande wa wafugaji wale ni vichaa pande za isiolo, marsabit mpaka muyale huko sijafika kule unaweza kutembezewa mvua ya risasi for funny, unakuta mtu anachunga ng'ombe begani ana SMG hataari.

Anyway kwa kenya ukiweza kuvuka vizingiti vya ukiritimba wa watanzania wenzio ukapeleka mazao au hata pumba tu kule umetoboa.
 
Sure mimi nashauri kenya, nimezunguka sana kenya ila kutoa northern part upande wa wafugaji wale ni vichaa pande za isiolo, marsabit mpaka muyale huko sijafika kule unaweza kutembezewa mvua ya risasi for funny, unakuta mtu anachunga ng'ombe begani ana SMG hataari.

Anyway kwa kenya ukiweza kuvuka vizingiti vya ukiritimba wa watanzania wenzio ukapeleka mazao au hata pumba tu kule umetoboa.
Nishasikia sana wafugaji "wanaishi" na silaha huko! Serikali yao imewashindwa au wako juu ya Sheria?
 
Nishasikia sana wafugaji "wanaishi" na silaha huko! Serikali yao imewashindwa au wako juu ya Sheria?
Kenya ni nchi ya ajabu sana, kiufupi mahali pa border ya kenya na Somalia na kenya na Ethiopia kuna loophole kubwa sana jamaa wanaingia kila siku, huko serikali kiasi fulani imechemka, kenya wanaishi waborana wamejaa tele, wasomali tele sasa kuchanganya huyu sio native speaker wa kiborana cha kenya au cha ethiopia unajuaje? so miji iliyopakana na hizo nchi ndo wapo hao wafugaji, watu wamevurugwa hao hawana utu hata 0, siku moja twende garbatula tukazurure mkuu.
 
Back
Top Bottom