Ila ni kweli kabisaMungu akimpa mwanamke uzuri bila akili kitachoumia zaiidi ni sehem zake za siri "-Mugabe
Laki tano nyingi sana, alivutwa denfrensi hotel pale sinza jamaa alimtafuna kwa 70tu.hahahahahhaha....Hivi unajua ukiwa na laki tano unamkula huyo demu...huyo anauza....kama huamini wewe jaribu tu...Ongea na kadnda
Si bora la Tanesco range ipo nyuma ya tra muda nw hela ya kuitoa hamnaNadhan mnajua kuwa wema ana deni la tanesco wacha mkongo amlipie
Dogi kabaki anahangaika tu kama anataka kutaga, ila Wema kawahi kujisalimisha kwa Matilda ha ha ha Matilda alitishia kutoa siri za wema, imebidi wema apatane haraka iwezekanavyonimeona picha hahahaha matikibokoyao kachoka,vipi dogymasta hahahhaha hajachoka"
Dogi kabaki anahangaika tu kama anataka kutaga, ila Wema kawahi kujisalimisha kwa Matilda ha ha ha Matilda alitishia kutoa siri za wema, imebidi wema apatane haraka iwezekanavyo
mh sijajua kumbe kaka meneja dalali kiasi hiki.hahahahahhaha....Hivi unajua ukiwa na laki tano unamkula huyo demu...huyo anauza....kama huamini wewe jaribu tu...Ongea na kadnda
Ina maana tangu ikamatwe pale Africana had sasa haijatoka?shida ya Ile range nini?Si bora la Tanesco range ipo nyuma ya tra muda nw hela ya kuitoa hamna
Sema labda kwakua ni mtu ajulikanae ila ni mhuni kama wanawake wengine tu,ana bahat ya kuandikwa bhaaas na ndo maisha alojichaguliawema anabd aifanyie k yake surgey maana itakuwa imechoka
YaaaaapHudda ni high class hooker, anadili na wealthy clients. Una book, unamsafirisha business class, unampangia five star hotel. Unachapaaaa tani yako. Ndo mana unaona kila saa ako na robe, goods ziko readly available. Na yeye anapata picha za kuringishia IG
Kumsalimia tu.......nataka nimtembelee kazini.......
Matilda ndio wakina nani?? elezea fresh wengine ndio tunajifunza funza umbea mdoo mdoooDogi kabaki anahangaika tu kama anataka kutaga, ila Wema kawahi kujisalimisha kwa Matilda ha ha ha Matilda alitishia kutoa siri za wema, imebidi wema apatane haraka iwezekanavyo
Ndo tabu ya kutopiga chuma kwa balance jamaa kakaa kama alama ya kuuliza chini mwembambaaa.Duh...huyu jamaa kanenepa juu tu aiseee kama kirungu
Yaaaaap
Ingawa inasemekana na chapa jogoo pia anabeba
Kuhusu huyo wala usi jiulize mara mbili kama umesikia wewe tiki tu usubiri kusikia Mcongo naye kauziwa mimba, eti machungu?, machungu ya mimba gani kutoka? labda ya mdoli kuhusu VIDEO Mcongo wala hahitaji kuvizia vizia kuchukua hiyo video amwambie tu pozi gani akae huyo dada ni mtaalam mwandamizi kwenye hiyo fani.Habarini.....
Leo insta naona kuna Maneno yanaendelea chini chini kubwa Bi dada wetu Wema Isack Sepetu sasa Amehamishia penzi kwa Mcongo Man anae itwa APOCALYPSEBELLA Millionea Mmoja ambae ameingia Mjini Siku za hivi Karibuni
Picha zimeanza kuzagaa chini chini zikionesha Wema akiwa na Huyo mkongo ambae amefikia hoteli fulani kubwa hapa Dar!
Katika ukurasa wake wa insta Apocalypsebella amempost Wema akionesha ni Sweartheart wake!
Huku wema Machungu ya Mimba kutoka yakiwa hayajaisha leo anakula bata na kumsahahu kijana wetu Idrissa ambae amekuwa akipambana na watu kuhakikisha kuwa Wema hashambuliwi kwa maneno na kuonesha kuwa akimpenda sana! Watu wamevapia page ya idrissa na kumpa pole sana hadi idrissa kupanic!
Kikubwa watu wanacho mshauri wema ni kuwa awe Makini maana inasemekana Mkongo anatabia Ambayo sio nzuri hasa za kuchukua video wakati akiwa ana s.x na mtu!
Amaa kweli Wema ni sikio La kufa
Wema naye kiboko..kaanza kuzionja toka enzi za kinablue mpaka leo...atakuwa Danny wakike asyee
Sijui hata ina shida ganiIna maana tangu ikamatwe pale Africana had sasa haijatoka?shida ya Ile range nini?