Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ajikaze kiume, mbona alivomchukua wema kwa rafiki ake luismunana alijikaza kiume, akajiona mjanja kugonga anapogonga rafiki ake ha ha zamu yake, jamaa lenyewe lilivo iddi hawezi hata timbwili analilia chini ya mto na instagram lolNilijua tu yule mpiga picha atalia tu
Ni maisha yake binafsi wandugu...Wema ....but whyyyyyyyyyy!!!!!
Jamani Wema msitiri marehemu baba yako jamani..huoni kinyaa khaaaa
Aisee...Ha ha ha new shemeji nae yupo yupo kama rungu juu mkubwa chini mdogooo ha ha ha afu anajishaua
Not this way jamani...kuna watu wake atakua anawaumiza sanaaa duhNi maisha yake binafsi wandugu...
kumbe anarecord video za x akiwa kwichikichwi. acha na sepenga arekodiwe na sisi tuone papuchi yake maana milk yake nishaonaHabarini.....
Leo insta naona kuna Maneno yanaendelea chini chini kubwa Bi dada wetu Wema Isack Sepetu sasa Amehamishia penzi kwa Mcongo Man anae itwa APOCALYPSEBELLA Millionea Mmoja ambae ameingia Mjini Siku za hivi Karibuni
Picha zimeanza kuzagaa chini chini zikionesha Wema akiwa na Huyo mkongo ambae amefikia hoteli fulani kubwa hapa Dar!
Katika ukurasa wake wa insta Apocalypsebella amempost Wema akionesha ni Sweartheart wake!
Huku wema Machungu ya Mimba kutoka yakiwa hayajaisha leo anakula bata na kumsahahu kijana wetu Idrissa ambae amekuwa akipambana na watu kuhakikisha kuwa Wema hashambuliwi kwa maneno na kuonesha kuwa akimpenda sana! Watu wamevapia page ya idrissa na kumpa pole sana hadi idrissa kupanic!
Kikubwa watu wanacho mshauri wema ni kuwa awe Makini maana inasemekana Mkongo anatabia Ambayo sio nzuri hasa za kuchukua video wakati akiwa ana s.x na mtu!
Amaa kweli Wema ni sikio La kufa
Ni fake yake ina double l na a moja, yaan mwisho bella, hiyo ina bellaaNenda kaiprove insta utaona
Ha ha ha aangalie sana maana mcongo yupo kama undertaker, kofi moja atajikuta uso wote umegeukia mgongoniYuko na bwana wa kicongo Idris analia lia tu mara apost bunduki mara aombe Mungu huyu asije kujiua ha ha ha
Jana aliwachefua kusema atazikwa peke yake hakuna atakaempa kampani kwenye kaburi so wamwache, nadhan ndo hiloooo team wema wengi wameishiwa povuMabosi wa team wema wa insta wameanza kumuacha wenyewe kuwa nao wana roho zao hadi matikitiyabokoko nae kasepa na kufuta picha zake wema zote na maandishi ya utimu sijui I live her sijui will die for her all gone.
Kitakachoumia zaidi ni K yake, na hapo ni mpaka akutane na mandingoNot this way jamani...kuna watu wake atakua anawaumiza sanaaa duh
Idriss kaumia sana,tatizo itakuwa ahongi,ila Wema kwa huyo mcongo namuonea huruma,nina feelings wema atafanyiwa kitu mbaya,huyo mcongo kishatoka hadi na hudaYuko na bwana wa kicongo Idris analia lia tu mara apost bunduki mara aombe Mungu huyu asije kujiua ha ha ha
hahahahahhaha....Hivi unajua ukiwa na laki tano unamkula huyo demu...huyo anauza....kama huamini wewe jaribu tu...Ongea na kadnda
ndio bei yake mkuu...full nightDuh, laki tano zote ndio ununue yule. Kweli hawa madungayembe wanaishi mjini kwa kwa kutegemea wanaume wasio na akili.
Mkuu...umeshawahi kujaribu? Just curioushahahahahhaha....Hivi unajua ukiwa na laki tano unamkula huyo demu...huyo anauza....kama huamini wewe jaribu tu...Ongea na kadnda
hapana...aligongwa na mshikaji wangu flani iviMkuu...umeshawahi kujaribu? Just curious
ndio bei yake mkuu...full night