cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Dr mwaka
Thats billion dollar question switihati hahahaHivi kazini kwa Wema ni wapi........?.......nataka kwenda ofcn kwake.........
hata sijui,labda kaja kujimbembelezesha tenaKwani si walishaachana na hudda?
Hilo box ndio linaitwa Advocate ati.. teh teh tehYou are.... Simple English inakushinda mengine je?
Hudda kaja kukaba danga lake ha ha ha wema kajifanyaje yupo bize na lipstick ha ha ha mwenye danga kajahata sijui,labda kaja kujimbembelezesha tena
Umbea unasema mkongo ni danga la huddah
Yule mcongo hana lolote,mashauzi tu,niliangalia picha zake kuna picha anaonyesha investiments zake huko uganda,kimashine cha kusaga,kwa swaga zake yaani ile mashine ni ya kawaida sana halafu magunia mle ndani hata hamsini hayafiki.Yule atakuwa punda,Haaa mbona Hudda nae anatuuliza Mcongo ndio mnyama gani??
nimem follow huyo mcongo ana mashauzi looh..
Hahah inawezekana....Yule mcongo hana lolote,mashauzi tu,niliangalia picha zake kuna picha anaonyesha investiments zake huko uganda,kimashine cha kusaga,kwa swaga zake yaani ile mashine ni ya kawaida sana halafu magunia mle ndani hata hamsini hayafiki.Yule atakuwa punda,