Ni kweli?

Ni kweli?

1.wanawake ni muhimu sana katika dunia, wao ndio wametufanya sisi wanaume tuwe kama tulivyo
2.Wanaume nasi ni muhimu sana katika dunia, sisi pia tumewafanya wanawake wawe kama walivyo.

basi umemaliza kelele hapa!!!!!!!!
 
Wanawake wanajali (caring) na wanafahamu kupenda (loving),

Wanawake hutoa machozi hata wakiwa na furaha,

Wanawake hufanya hata vitu vidogo vidogo kuonesha wanajali,

Wanawake huweza kusimama mahali popote kwa ajili ya kitu wanachokiamini ni the best kwa watoto wao.

Wanawake wanauwezo wa kutabasamu hata kama wamechoka, hawawezi kujizuia.

Wafahamu namna ya kubadili mlo wa kawaida na kuwa special kwa occasion yoyote.

Wanajua jinsi ya kumfariji rafiki au mtu ambaye anaumwa.

Wanawake huleta kicheko na furaha duniani.

Wanajua namna ya kumliwaza mtoto kwa saa nyingi.


Wanawake wengi ni wakweli na watiifu.

Wanawake wengi hujikuta wanatoa machozi wanapojikuta wanakosa haki yao.

Wanawake wanafahamu wafanye nini ili mwanaume ajisikie ni mfalme.

Wanaweza kwenda extra mile kumsaidia rafiki yao.

Wanawake wanawezesha dunia kuwa mahali bora kuishi.

Wanaume wana sifa muhimu zipi?

Hivi inakuwaje mwamamme akimfumanaia mwanamke kumsamehe ni ngumu sana tena atatafuta kisingizio cha kumwacha ila mwanamke akimfumania mwanaume wake kusamehewa ni rahisi...nielewesheni hii kitu sijaielewa sawasawa...
 
Hivi inakuwaje mwamamme akimfumanaia mwanamke kumsamehe ni ngumu sana tena atatafuta kisingizio cha kumwacha ila mwanamke akimfumania mwanaume wake kusamehewa ni rahisi...nielewesheni hii kitu sijaielewa sawasawa...

Katika maswala ya mapenzi wanaume wametawaliwa na wivu uliochanganyika na uchoyo pamoja na ubinafsi.Anaweza hata kuua mtu akimwona akitoka na moja kati ya wanawake wengi anaowamiliki hata kama hawatoshelezi hawa wanawake kwenye mambo ya ndoa.
 
Tena kwa hasira!

Wabeijingi bwana...........wanawake ........wanawake.......yaani wanasahau we have an important role to play as well!

Hommie umuwene mshiki?
Waambie mkuu yaani imefikia mahali hawa wabeijing wanadhani dunia ingekuwa mahali bora sana bila madume....So disgusting!!!
 
Back
Top Bottom