MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Why hizi teuzi zote asizifanye ndani ya siku na hata kama kutakuwa na interver ya kuwaapisha?
Je, teuzi ni sehemu ya mafanikio ya nchi? Tujivunie teuzi kama moja ya nchi kupitia hatua?
Make awamu iliyopita ilikuwa nayo kila wiki ni teuzi ila tofauti na ile awamu Mwenda zake alikuwa anatengua na kuteua.
Awamu hii ni teuzi, kila wiki au kila baada ya siku 5.
Why sizijumlishwe panoja zikafanyika mara moja na hata kama Uapisho utafanyika kwa Interver?
Je, teuzi ni sehemu ya mafanikio ya nchi? Tujivunie teuzi kama moja ya nchi kupitia hatua?
Make awamu iliyopita ilikuwa nayo kila wiki ni teuzi ila tofauti na ile awamu Mwenda zake alikuwa anatengua na kuteua.
Awamu hii ni teuzi, kila wiki au kila baada ya siku 5.
Why sizijumlishwe panoja zikafanyika mara moja na hata kama Uapisho utafanyika kwa Interver?