Ni lazima kila wiki kuwe na teuzi?

Ni lazima kila wiki kuwe na teuzi?

Why hizi teuzi zote asizifanye ndani ya siku na hata kama kutakuwa na interver ya kuwaapisha?

Je teuzi ni sehemu ya mafanikio ya nchi? Tujivunie teuzi kama moja ya nchi kupitia hatua?

Make awamu ilio pita ilikuwa nayo kila wiki ni teuzi ila tofauti na ile awamu Mwenda zake alikuwa ana tengua na kuteua.

Awamu hii ni teuzi, kila wiki au kila baada ya siku 5.

Why sizijumlishwe panoja zikafanyika mara moja na hata kama Uapisho utafanyika kwa Interver?
Wewe unawashwa na kitu gani?
Mbona hukuuliza wakati wa utawala wa Jiwe?
 
Huu ni uongozi mpya!. hakuna muda wa kuchelewa kupanga safu ya watu utakaofanya nao kazi!..tena ingewezekana angefanya kila siku ili amamilize mapema zaidi kupanga timu yake na kazi iendelee!

Besides, naamini hiyo interver uliyoandika uliimaanisha interval!.. kama sivyo basi nisamehe!
Mama anaendelea kupiga deki ikulu hadi pale atakapo jiridhisha mwenyewe kuwa sasa ni pasafi na hakuna makando kando yaliyobakia
 
Why hizi teuzi zote asizifanye ndani ya siku na hata kama kutakuwa na interver ya kuwaapisha?

Je teuzi ni sehemu ya mafanikio ya nchi? Tujivunie teuzi kama moja ya nchi kupitia hatua?

Make awamu ilio pita ilikuwa nayo kila wiki ni teuzi ila tofauti na ile awamu Mwenda zake alikuwa ana tengua na kuteua.

Awamu hii ni teuzi, kila wiki au kila baada ya siku 5.

Why sizijumlishwe panoja zikafanyika mara moja na hata kama Uapisho utafanyika kwa Interver?
Mstaga tulia Mungu ndio muumba wa yote atakalo yeye ........mkubali fu mwendazake amerudi mavumbini kazi iendelee
 
Nimekuja kuamini kumbe so ugonjwa tu ndo unaambukiza hata tabia, mama kaamvukizwa tabia za kuteua teua na magufuli
 
Why hizi teuzi zote asizifanye ndani ya siku na hata kama kutakuwa na interver ya kuwaapisha?

Je teuzi ni sehemu ya mafanikio ya nchi? Tujivunie teuzi kama moja ya nchi kupitia hatua?

Make awamu ilio pita ilikuwa nayo kila wiki ni teuzi ila tofauti na ile awamu Mwenda zake alikuwa ana tengua na kuteua.

Awamu hii ni teuzi, kila wiki au kila baada ya siku 5.

Why sizijumlishwe panoja zikafanyika mara moja na hata kama Uapisho utafanyika kwa Interver?
Anayatoa masalia ya mwendazake na sukuma Gang.
 
afu atakuwa anafanya kazi gani hapo katikati ya hiyo interval mkuu.
Wewe chukulia siasa ni kama sehemu ya entertainment tu, lakini kwa maswala ya msingi, think, go to work, and think and work very hardly
 
Bora teuzi za sasa, mama anapanga safu....
Kuliko yule mlugaluga ni teua tumbua teua tumbua teua tumbua hadi moto unakata kazi ilikua hiyo tu.
 
Acha ujinga,,,kwani enzi za yule ibilisi ilikuwa ni lazima kila siku kuwepo na utenguzi???
 
Back
Top Bottom