Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Hapa ndo pasua kichwa kwa MamaSehemu alliyokosea kwenye Baraza la mawaziri, huku kwingine asingepata shida.
Atasumbuka Sana na hapo ndipo kazi itamshinda
Watanzania kwasasa no waelewa Sana wanawajua viongozi wabovu na wazuri
Wewe unawashwa na kitu gani?Why hizi teuzi zote asizifanye ndani ya siku na hata kama kutakuwa na interver ya kuwaapisha?
Je teuzi ni sehemu ya mafanikio ya nchi? Tujivunie teuzi kama moja ya nchi kupitia hatua?
Make awamu ilio pita ilikuwa nayo kila wiki ni teuzi ila tofauti na ile awamu Mwenda zake alikuwa ana tengua na kuteua.
Awamu hii ni teuzi, kila wiki au kila baada ya siku 5.
Why sizijumlishwe panoja zikafanyika mara moja na hata kama Uapisho utafanyika kwa Interver?
Kazi yenyewe anayo basi?Acha woga wewe, fanya kazi kwa uadilifu...
Hilo ndiyo jibu haswaaaTatizo ni kwamba hujateuliwa wewe
Umemaliza kaziTeuzi zisipo kuhusu unajionea sawa tu. Zinaathiri kitu gani labda ungetuambia
Mama anaendelea kupiga deki ikulu hadi pale atakapo jiridhisha mwenyewe kuwa sasa ni pasafi na hakuna makando kando yaliyobakiaHuu ni uongozi mpya!. hakuna muda wa kuchelewa kupanga safu ya watu utakaofanya nao kazi!..tena ingewezekana angefanya kila siku ili amamilize mapema zaidi kupanga timu yake na kazi iendelee!
Besides, naamini hiyo interver uliyoandika uliimaanisha interval!.. kama sivyo basi nisamehe!
Team sukuma naona wanalia tuMama anapanga team yake ili kuwafikisha wadanganyika nchi ya asali na maziwa
Inakuhusu nini?Hakuna time frame ya kupanga? Au muda nao unasubili apanga kwanza timu?
Mwaka huu mtaisoma namba na hizo teuzi mtazisikia tu tbcNaminisha hivyo Mwingileza mweusi
Walizoea vya kunyongaMkuu unataka kumpangia cha kufanya?
Mstaga tulia Mungu ndio muumba wa yote atakalo yeye ........mkubali fu mwendazake amerudi mavumbini kazi iendeleeWhy hizi teuzi zote asizifanye ndani ya siku na hata kama kutakuwa na interver ya kuwaapisha?
Je teuzi ni sehemu ya mafanikio ya nchi? Tujivunie teuzi kama moja ya nchi kupitia hatua?
Make awamu ilio pita ilikuwa nayo kila wiki ni teuzi ila tofauti na ile awamu Mwenda zake alikuwa ana tengua na kuteua.
Awamu hii ni teuzi, kila wiki au kila baada ya siku 5.
Why sizijumlishwe panoja zikafanyika mara moja na hata kama Uapisho utafanyika kwa Interver?
Mama Samia havujishi anapiga ambush tuUko jikoni, tuambie maDC ni lini?
Anayatoa masalia ya mwendazake na sukuma Gang.Why hizi teuzi zote asizifanye ndani ya siku na hata kama kutakuwa na interver ya kuwaapisha?
Je teuzi ni sehemu ya mafanikio ya nchi? Tujivunie teuzi kama moja ya nchi kupitia hatua?
Make awamu ilio pita ilikuwa nayo kila wiki ni teuzi ila tofauti na ile awamu Mwenda zake alikuwa ana tengua na kuteua.
Awamu hii ni teuzi, kila wiki au kila baada ya siku 5.
Why sizijumlishwe panoja zikafanyika mara moja na hata kama Uapisho utafanyika kwa Interver?
Na MaDED pia,baadae MABALOZIUko jikoni, tuambie maDC ni lini?