Ni lazima sasa Tundu Lissu afike Jimbo la Kyela

Na muache ukabila, 2015 mlipoteza ubunge kisa tu mgombea wa chadema alikuwa mkisi, watu wakamchagua mwakyembe sio kuwa wanamtaka bali ni mnyakyusa mwenzao
 
ACHA UONGO ULIMKIBIZAJE MWAKYEMBE WAKATI HUKUWA MJUMBE
Ujumbe gani ? Mwakyembe aliyekuwa anaogopa mikutano ya hadhara alisubiri mimi niwe mjumbe ? uligwakughu ugwe , mmyenu mundamba alisililepo ndeli bhu ikututila twe bha Chadema , kena abhopile na mmyabho Mwikholo ?

Twe bha Chadema tulibhasisya fijo .
 
Ujumbe gani ? Mwakyembe aliyekuwa anaogopa mikutano ya hadhara alisubiri mimi niwe mjumbe ? uligwakughu ugwe , mmyenu mundamba alisililepo ndeli bhu ikututila twe bha Chadema , kena abhopile na mmyabho Mwikholo ?

Twe bha Chadema tulibhasisya fijo .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeamua kumwaga Kichina kabisa, duh.....!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeamua kumwaga Kichina kabisa, duh.....!
Huyo jamaa ni mnyakyusa wa Tenende , alikuwa chawa wa Mwakyembe , sasa kwa sababu hajui kiswahili vizuri ikabidi nimwandikie kinyakyusa .

Kule kwao ndio ambako mkuu wa Wilaya ya kyela alipigwa mawe na kukimbia
 
Huyo jamaa ni mnyakyusa wa Tenende , alikuwa chawa wa Mwakyembe , sasa kwa sababu hajui kiswahili vizuri ikabidi nimwandikie kinyakyusa .

Kule kwao ndio ambako mkuu wa Wilaya ya kyela alipigwa mawe na kukimbia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nami Nina tag huu uzi,afike pia huku lingusenguse pls,sehemu pekee hakuna kiongozi yeyote wa kitaifa ameweza Kuja tokea uhuru wetu wa bendera
 
Mungu ibariki Chadema[emoji1545][emoji817][emoji818] Mungu Ibariki CHADEMA [emoji1752]
 
Naamini chama ni wasikivu na pamoja na uchache wa rasiliamali bado ipo fursa ya kuwafikia wanachama na kubadilishana mawazo kwa maendeleo ya chama na taifa letu 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…