Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Usisahau NgelwaHuyo mwamba atafika tu kwani cdm wana mpango wa kupita kijiji kwa kijiji na mtaa kwa mtaa mumwaandalie mbasa na bhusipa ambaye ukweli kwake ni namba moja hataki mbambamba
Punguza ujinga mkuu.Huko Huwa mna kipindu pindu Cha uganga unataka Lisu wetu mumtupie hicho kipindu pindu????
Watu wazuri hawafiHuko Huwa mna kipindu pindu Cha uganga unataka Lisu wetu mumtupie hicho kipindu pindu????
Acha kukariri , tumekuja sasa sisi tuliomkimbiza Mwakyembe unapaonaje hapo ?Hapo Kyela Chadema ilikuwa moto enzi za Akina Kennedy
Mkuu usihangaike na hao masikini wa akiliPunguza ujinga mkuu.
ACHA UONGO ULIMKIBIZAJE MWAKYEMBE WAKATI HUKUWA MJUMBEAcha kukariri , tumekuja sasa sisi tuliomkimbiza Mwakyembe unapaonaje hapo ?
Ujumbe gani ? Mwakyembe aliyekuwa anaogopa mikutano ya hadhara alisubiri mimi niwe mjumbe ? uligwakughu ugwe , mmyenu mundamba alisililepo ndeli bhu ikututila twe bha Chadema , kena abhopile na mmyabho Mwikholo ?ACHA UONGO ULIMKIBIZAJE MWAKYEMBE WAKATI HUKUWA MJUMBE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujumbe gani ? Mwakyembe aliyekuwa anaogopa mikutano ya hadhara alisubiri mimi niwe mjumbe ? uligwakughu ugwe , mmyenu mundamba alisililepo ndeli bhu ikututila twe bha Chadema , kena abhopile na mmyabho Mwikholo ?
Twe bha Chadema tulibhasisya fijo .
Huyo jamaa ni mnyakyusa wa Tenende , alikuwa chawa wa Mwakyembe , sasa kwa sababu hajui kiswahili vizuri ikabidi nimwandikie kinyakyusa .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeamua kumwaga Kichina kabisa, duh.....!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo jamaa ni mnyakyusa wa Tenende , alikuwa chawa wa Mwakyembe , sasa kwa sababu hajui kiswahili vizuri ikabidi nimwandikie kinyakyusa .
Kule kwao ndio ambako mkuu wa Wilaya ya kyela alipigwa mawe na kukimbia
Mungu ibariki Chadema[emoji1545][emoji817][emoji818] Mungu Ibariki CHADEMA [emoji1752]View attachment 2512713
Pamoja na Ukweli kwamba Jimbo la Kyela ni sehemu ya ngome imara za Chadema kwenye Mkoa wa Mbeya ikiwemo pia Kanda ya Nyasa , lakini mara zote Jimbo hili husahauliwa kwenye ziara muhimu za Viongozi wa Kitaifa , naandika haya nikiwa Mkazi wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , njia kuu kuelekea Itungi Port , kwahiyo naandika nikiwa na ushahidi wa kutosha .
Kyela ni mwisho wa nchi , hakuna barabara kuu ya viongozi kupita kuelekea kwingine , kwamba labda na sisi wanaKyela tuwazuie njiani na kuwalazimisha watuhutubie kama wafanyavyo majimbo mengine , Kiongozi anayekuja KYELA ni lazima apange safari ya Kuja Kyela moja kwa moja , ni lazima viongozi wa Kanda ya Nyasa wamwelekeze kwamba , TUKIFIKA UYOLE HEBU KATA KUSHOTO UENDE UKAHUTUBIE WANANCHI WA KYELA .
Viongozi wa Kanda ya Nyasa ni lazima safari hii Tundu Lissi akanyage Kyela , Afike Katumbasongwe , Ngonga , Ikolo , afike mpaka Ikato lya Nyerere , Bujonde , kajunjumele , Ipyana na Kwingineko , Tunataka Lissu afike Boda , ambako Bendera 5 za mwanzo unazoziona zinapepea ukitokea Malawi , zote ni Bendera za Chadema , sisi Kyela tulishaiua ccm kitambo sana , sasa hivi ni kama tunapambana na Polisi tu .
Labda kwa Taarifa tu ni kwamba CHADEMA KYELA ndio imemstaafisha siasa Mwakyembe , huyu hatukumpa muda wa kufurukuta , tuliziba njia zake zote , ilifika wakati Mwakyembe aliogopa hata kuitisha mikutano ya hadhara kwa hofu ya kuzomewa , yale mambo yao ya " ALILE KAKO " Ilikuwa nyongeza tu , ni lazima sasa viongozi wa Kitaifa wafahamu kazi kubwa tuliyoifanya ya kuua ccm Kyela kwa KUITAMBUA .
Mungu ibariki Chadema
Naomba kuwasilisha .
NAKALA : Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula , Sugu , China , Peter Msgwa , Tundu Lissu , Gwamaka Mbughi , John Mwambigija
Naamini chama ni wasikivu na pamoja na uchache wa rasiliamali bado ipo fursa ya kuwafikia wanachama na kubadilishana mawazo kwa maendeleo ya chama na taifa letu 🤔View attachment 2512713
Pamoja na Ukweli kwamba Jimbo la Kyela ni sehemu ya ngome imara za Chadema kwenye Mkoa wa Mbeya ikiwemo pia Kanda ya Nyasa , lakini mara zote Jimbo hili husahauliwa kwenye ziara muhimu za Viongozi wa Kitaifa , naandika haya nikiwa Mkazi wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , njia kuu kuelekea Itungi Port , kwahiyo naandika nikiwa na ushahidi wa kutosha .
Kyela ni mwisho wa nchi , hakuna barabara kuu ya viongozi kupita kuelekea kwingine , kwamba labda na sisi wanaKyela tuwazuie njiani na kuwalazimisha watuhutubie kama wafanyavyo majimbo mengine , Kiongozi anayekuja KYELA ni lazima apange safari ya Kuja Kyela moja kwa moja , ni lazima viongozi wa Kanda ya Nyasa wamwelekeze kwamba , TUKIFIKA UYOLE HEBU KATA KUSHOTO UENDE UKAHUTUBIE WANANCHI WA KYELA .
Viongozi wa Kanda ya Nyasa ni lazima safari hii Tundu Lissi akanyage Kyela , Afike Katumbasongwe , Ngonga , Ikolo , afike mpaka Ikato lya Nyerere , Bujonde , kajunjumele , Ipyana na Kwingineko , Tunataka Lissu afike Boda , ambako Bendera 5 za mwanzo unazoziona zinapepea ukitokea Malawi , zote ni Bendera za Chadema , sisi Kyela tulishaiua ccm kitambo sana , sasa hivi ni kama tunapambana na Polisi tu .
Labda kwa Taarifa tu ni kwamba CHADEMA KYELA ndio imemstaafisha siasa Mwakyembe , huyu hatukumpa muda wa kufurukuta , tuliziba njia zake zote , ilifika wakati Mwakyembe aliogopa hata kuitisha mikutano ya hadhara kwa hofu ya kuzomewa , yale mambo yao ya " ALILE KAKO " Ilikuwa nyongeza tu , ni lazima sasa viongozi wa Kitaifa wafahamu kazi kubwa tuliyoifanya ya kuua ccm Kyela kwa KUITAMBUA .
Mungu ibariki Chadema
Naomba kuwasilisha .
NAKALA : Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula , Sugu , China , Peter Msgwa , Tundu Lissu , Gwamaka Mbughi , John Mwambigija
Kwa hiyo unataka kuwadanganya wenzio kuwa sasa sio 🔥.Hapo Kyela Chadema ilikuwa moto enzi za Akina Kennedy
AmenMungu ibariki Chadema[emoji1545][emoji817][emoji818] Mungu Ibariki CHADEMA [emoji1752]