mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Ukifuatilia msimamo ulivyo katika Kundi D utakubaliana na mimi kuwa Simba SC ndiyo itakayokuwa ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali katika kundi lake.
Katika kundi hili Simba na Asec Mimosas ndizo timu zitakazokuwa na michezo miwili nyumbani na mchezo mmoja ugenini katika mzunguko wa pili.
Rs Berkane na US Gendarmaree watakuwa na michezo miwili ugenini na mchezo mmoja nyumbani.
Ni hivi ; kama kila mmoja atashinda mechi zake za nyumbani, Simba mwenye pointi 4 + 6 atakuwa na point 10. Asec Mimosas mwenye point 3 +6 atakuwa na pointi 9.
Rs Berkane mwenye pointi 6 + 3 atakuwa na pointi 9. Us Gendarmaree mwenye pointi 4 + 3 atakuwa na pointi 7.
Hivyo, Simba ana nafasi kubwa ya kutinga robo fainali kama atashinda mechi zake za nyumbani zilizobaki. Na hapo utagundua kwamba, sare aliyoipata dhidi ya Gendarmaree ugenini ilikuwa na maana kubwa zaidi.
Tahadhari, unaweza kupigwa hata ukiwa nyumbani.
Katika kundi hili Simba na Asec Mimosas ndizo timu zitakazokuwa na michezo miwili nyumbani na mchezo mmoja ugenini katika mzunguko wa pili.
Rs Berkane na US Gendarmaree watakuwa na michezo miwili ugenini na mchezo mmoja nyumbani.
Ni hivi ; kama kila mmoja atashinda mechi zake za nyumbani, Simba mwenye pointi 4 + 6 atakuwa na point 10. Asec Mimosas mwenye point 3 +6 atakuwa na pointi 9.
Rs Berkane mwenye pointi 6 + 3 atakuwa na pointi 9. Us Gendarmaree mwenye pointi 4 + 3 atakuwa na pointi 7.
Hivyo, Simba ana nafasi kubwa ya kutinga robo fainali kama atashinda mechi zake za nyumbani zilizobaki. Na hapo utagundua kwamba, sare aliyoipata dhidi ya Gendarmaree ugenini ilikuwa na maana kubwa zaidi.
Tahadhari, unaweza kupigwa hata ukiwa nyumbani.