Ni lazima Simba atinge Robo Fainali katika Kundi D

Ni lazima Simba atinge Robo Fainali katika Kundi D

Hii timu ya wachezaji kina Mugalu, Bocco na Muzamiru haiendi popote
 
Simba chama langu lakini hatujifunzi kwamakosa kunahaja gani yakusubiria kushindia nyumbani
 
Ukifuatilia msimamo ulivyo katika Kundi D utakubaliana na mimi kuwa Simba SC ndiyo itakayokuwa ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali katika kundi lake.

Katika kundi hili Simba na Asec Mimosas ndizo timu zitakazokuwa na michezo miwili nyumbani na mchezo mmoja ugenini katika mzunguko wa pili.

Rs Berkane na US Gendarmaree watakuwa na michezo miwili ugenini na mchezo mmoja nyumbani.

Ni hivi ; kama kila mmoja atashinda mechi zake za nyumbani, Simba mwenye pointi 4 + 6 atakuwa na point 10. Asec Mimosas mwenye point 3 +6 atakuwa na pointi 9.

Rs Berkane mwenye pointi 6 + 3 atakuwa na pointi 9. Us Gendarmaree mwenye pointi 4 + 3 atakuwa na pointi 7.

Hivyo, Simba ana nafasi kubwa ya kutinga robo fainali kama atashinda mechi zake za nyumbani zilizobaki. Na hapo utagundua kwamba, sare aliyoipata dhidi ya Gendarmaree ugenini ilikuwa na maana kubwa zaidi.

Tahadhari, unaweza kupigwa hata ukiwa nyumbani.

View attachment 2134732
Yani team zote ni mboovuu....
 
Ukifuatilia msimamo ulivyo katika Kundi D utakubaliana na mimi kuwa Simba SC ndiyo itakayokuwa ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali katika kundi lake.

Katika kundi hili Simba na Asec Mimosas ndizo timu zitakazokuwa na michezo miwili nyumbani na mchezo mmoja ugenini katika mzunguko wa pili.

Rs Berkane na US Gendarmaree watakuwa na michezo miwili ugenini na mchezo mmoja nyumbani.

Ni hivi ; kama kila mmoja atashinda mechi zake za nyumbani, Simba mwenye pointi 4 + 6 atakuwa na point 10. Asec Mimosas mwenye point 3 +6 atakuwa na pointi 9.

Rs Berkane mwenye pointi 6 + 3 atakuwa na pointi 9. Us Gendarmaree mwenye pointi 4 + 3 atakuwa na pointi 7.

Hivyo, Simba ana nafasi kubwa ya kutinga robo fainali kama atashinda mechi zake za nyumbani zilizobaki. Na hapo utagundua kwamba, sare aliyoipata dhidi ya Gendarmaree ugenini ilikuwa na maana kubwa zaidi.

Tahadhari, unaweza kupigwa hata ukiwa nyumbani.

View attachment 2134732
Hilo neno "Lazima" umewaza nini? kama wewe ume weza kupata draw away wenzako wasiweze? mwenye uwezo ata enda quarter final tusubiri mda utaongea
 
Usiseme ni lazima Simba hii Haina kiwango Chochote Cha kutisha. Kikubwa mupambane uwanjani sio porojo midomoni mtaangukia pua
Wenye viwango wanacheza kombe gani kimataifa?

Wapumbavu km ww wanapatikana Tz tu. Simba inacheza mashindano ambayo ww yalikushinda Lin bado unajinasibu ww ni bora. Upumbavu wa hali ya juu sana.

Ipeni simba heshima yake.

Nataka nikwambie Yanga unayoiona leo , mwakani itashiriki Kimataifa na itatolewa kwa mechi 2 tu. Hii Ni timu ya kuwafunga Geita, Mbeya kwanza na Mbuni FC. Hakuna timu pale ya kufurukuta kimataifa.

Tuweke akiba ya maneno.
 
Wenye viwango wanacheza kombe gani kimataifa?

Wapumbavu km ww wanapatikana Tz tu. Simba inacheza mashindano ambayo ww yalikushinda Lin bado unajinasibu ww ni bora. Upumbavu wa hali ya juu sana.

Ipeni simba heshima yake.

Nataka nikwambie Yanga unayoiona leo , mwakani itashiriki Kimataifa na itatolewa kwa mechi 2 tu. Hii Ni timu ya kuwafunga Geita, Mbeya kwanza na Mbuni FC. Hakuna timu pale ya kufurukuta kimataifa.

Tuweke akiba ya maneno.
Toka kule ww,, mngekuwa wazuri msingecheza hizi match za michecheto na mnaambulia kufungwa tu.. wanaume wako Club Bingwa kisoda wewe..
Sasa mwaka huu wanaume tumerudi kwenye form na tunachukuwa vikombe vyote.
Nyie ni Makolos tu kama Makolos wengine
 
Ubora wa Yanga ni kutolewa mapema kimataifa na ubovu wa Simba kubaki kimataifa. Iko hivi kwasabab utamsikia shabiki wa Yanga anasema hii simba mbovu haiendi kokote kimataifa, anasahau kwamba Yanga ilitolewa raundi ya awali kabisa.
 
Toka kule ww,, mngekuwa wazuri msingecheza hizi match za michecheto na mnaambulia kufungwa tu.. wanaume wako Club Bingwa kisoda wewe..
Sasa mwaka huu wanaume tumerudi kwenye form na tunachukuwa vikombe vyote.
Nyie ni Makolos tu kama Makolos wengine
Wewe unaenda manungu mwenzako anaenda Morocco, huoni tofauti?

Huku aliko simba ambako hawako wanaume mbona hata usipate nafasi ya kucheza huko? We Ni zuzu.

Kumbe unajua huwa Simba ni mwanaume na huwa anacheza na wanaume wenzake.

Timu bora ziko kimataifa, Azam na Biashara wako wapi ? Walishaaga, walishindwa kucheza na wanaume.

Anachofanya Simba Ni kile ambacho wewe ulishindwa, mechi 2 tu chali. Heshima boya wewe.

BTW hakuna Utopolo mwenye akili.
 
Mashabiki wa Mikia hongereni Sana kwa kuchukuwa ubingwa wa Ligi kuu mwaka wa 5 mfululizo..
 
Back
Top Bottom