Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #41
Unacho-advocate mgawanyiko ni dhana potofu kupita zote
Kinachotakiwa si kuwanyika bali ni kukubaliana katika kutofautiana
Kuna tofauti kati ya kugawanyika na kutofautiana. Tunatofautiana. Hatujagawanyika. Wala hatutagawanyika kamwe. Umoja na mshikamano ni urithi wa Chama kilichotukomboa.Tuuenzi na kuulinda umoja na utulivu. Kwa pamoja, Mwanakijiji, Mwanajiji, Mkulima, Mfanyakazi, Mfanyabiashara na Mwekezaji, tujenge Taifa letu changa.
Umoja ni Nguvu!
kuna kila dalli kuwa hapa jamvini kuna watu wana kazi ya kumpigia makofi mwanakijiji hata kama hawajaelewa ametoa mawazo gani!!!!!!!!!!!
jamani jaribuni kuthink critically, kama ni kutofautiana kimtazamo, matakwa, itikadi nk. mbona tayari tunatofautiana? tutofautiane mara mbili? au mara ngapi???
ishu ni "kugawanyika" nipeni mfano wa nchi kama yetu hususani ya kiafrika "iliyogawanyika" halafu hapakutokea mapigano/umwagaji damu na badala yake waka[pata maendeleo..............
nakubaliana na hoja ya tumaini..............
kamwe haiwezekani kuwa na umoja mwituni...!
kwamba mbuzi na chui wakubaliane kutofautiana kuwa nani kati yao amle mwenzake; halafu wanatakiwa kuheshimu "tofauti hiyo".!
Kwamba mbuzi na chui waishi kila mtu ale urefu wa kamba yake na uwezo wake bila kuharibu na kupigana japo wanatofautiana kwa namna na viwango vya ulaji kwakuwa wako tofauti kimaumbile, elimu, uwezo nk.
hayo ndiyo mawazo ya kusikitisha; sasa chui ale kwa urefu wa kamba yake; ale majani?
jamani tumechoka na amani?
tumekerwa na utulivu?
tunaomba mapambano?
tutnatamani vita?
huko zanzibar damu ilimwagika, wanofaidi sasa bado ni wanasiasa wachache sana matunda ya ile damu, nao ni mfano, hamadi rashid mohamedi maalim seif, sasa jusa ladhu nk
kenya damu ilimwagika, wanaofaidi matunda ya ile damu ni wachache kama raila, nk.
tunawezaje kuwatamani hawa? wanasiasa wanawatamani lakini watu wa kawaida hata huko walikogawanyika wanawatamani watanzania!!!!!!!!!! pamoja na umbumbumbu wetu.
mwanakijiji wewe unaishi marekani, nami pia kwa sasa naishi nje, kumbuka kuna wenzetu wengi sana huko nyumbani ambao kama tukigawanyika na baada ya kitambo kidogo tukaanza kutwangana basi watakufa hadi waishe!!!!!!!!!
katika lolote linalohusi amani, sitakubali tugawanyike
heri tuwe masikini na kuonekana nwajinga, kuliko kuwa matajiri wajanja wanaouana kwa kuchochewa na wanasiasa.............
Mungu ibariki tanzania
kuna kila dalli kuwa hapa jamvini kuna watu wana kazi ya kumpigia makofi mwanakijiji hata kama hawajaelewa ametoa mawazo gani!!!!!!!!!!!
jamani jaribuni kuthink critically, kama ni kutofautiana kimtazamo, matakwa, itikadi nk. mbona tayari tunatofautiana? tutofautiane mara mbili? au mara ngapi???
ishu ni "kugawanyika" nipeni mfano wa nchi kama yetu hususani ya kiafrika "iliyogawanyika" halafu hapakutokea mapigano/umwagaji damu na badala yake waka[pata maendeleo..............
nakubaliana na hoja za tumaini na companero..............
Kwamba mbuzi na chui waishi kila mtu ale urefu wa kamba yake na uwezo wake bila kuharibu na kupigana japo wanatofautiana kwa namna na viwango vya ulaji kwakuwa wako tofauti kimaumbile, elimu, uwezo nk.
Then mawazo yako kuwa kuna chui na mbuzi ni ya kusikitisha zaidi from very beginning! wrong prima faci!
kuna kila dalli kuwa hapa jamvini kuna watu wana kazi ya kumpigia makofi mwanakijiji hata kama hawajaelewa ametoa mawazo gani!!!!!!!!!!!
jamani jaribuni kuthink critically, kama ni kutofautiana kimtazamo, matakwa, itikadi nk. mbona tayari tunatofautiana? tutofautiane mara mbili? au mara ngapi???
ishu ni "kugawanyika" nipeni mfano wa nchi kama yetu hususani ya kiafrika "iliyogawanyika" halafu hapakutokea mapigano/umwagaji damu na badala yake waka[pata maendeleo..............
nakubaliana na hoja za tumaini na companero..............
Hli nalo neno.Inawezekana kuwakusanya chui wote na kuwapa semina ya mahusiano bora mwituni na swala? Kwamba tuwaastarabishe na kuwaeleza ubaya wa kitendo chao cha kukimbiza swala na kuwa ni uvunjaji mkubwa wa haki za swala? Baada ya semina ya kila siku nzima huku chui wakiwa wamemaliza mkutano na kukubaliana kuwa siyo vizuri na haki kwa wao kula swala halafu akajipitisha swala wakati chui wanatoka Ngurdoto unafikiri chui wataangalia notes zao...
Si lazima tuganyike ili kufikia malengo,tunaweza kutofautiana kimawazo,tena kwa muda tu,lakini inapofika kwenye maslahi ya taifa ni lazima tuache tofauti zetu,nani kawaambia Warekani huwa wanagawanyika,ninachojua hutofautiana kwa hoja tu lakini inapofika kwenye swala lenye maslahi ya wamerekani hakuna cha democrats au republican they all join hands,mfano mzuri ni vita ya Iraq aliyoianzisha Bush,alipowaambia Wamerekani sababu ya vita ni kupigania maslahi ya marekani wengi waliamua kumuunga mkono hata kama mioyo yao ilikuwa dhaifu,..kwa hiyo tupingane kwa hoja lakini tusigawanyike hasa linapokuja kwenye swala la uchagua amani au vita,ufisadi au uadilifu,..ni lazima sote tuungane kutetea amani na uadilifu na tusigawanyike kwa hili,eti liwepo kundi la watetea ufisadi halafu pia liwepo kundi la wapinga ufisadi...
jamani tumechoka na amani?
tumekerwa na utulivu?
tunaomba mapambano?
tutnatamani vita?
huko zanzibar damu ilimwagika, wanofaidi sasa bado ni wanasiasa wachache sana matunda ya ile damu, nao ni mfano, hamadi rashid mohamedi maalim seif, sasa jusa ladhu nk
kenya damu ilimwagika, wanaofaidi matunda ya ile damu ni wachache kama raila, nk.
tunawezaje kuwatamani hawa? wanasiasa wanawatamani lakini watu wa kawaida hata huko walikogawanyika wanawatamani watanzania!!!!!!!!!! pamoja na umbumbumbu wetu.
mwanakijiji wewe unaishi marekani, nami pia kwa sasa naishi nje, kumbuka kuna wenzetu wengi sana huko nyumbani ambao kama tukigawanyika na baada ya kitambo kidogo tukaanza kutwangana basi watakufa hadi waishe!!!!!!!!!
katika lolote linalohusi amani, sitakubali tugawanyike
heri tuwe masikini na kuonekana nwajinga, kuliko kuwa matajiri wajanja wanaouana kwa kuchochewa na wanasiasa.............
Mungu ibariki tanzania
Mara kwa mara watawala wamekuwa wakituasa kuwa tofauti zetu zisisababishe mgawanyiko katika jamii na kuwa ni muhimu kuendeleza "umoja, utulivu na mshikamano".
Mimi nimeamua kukataa kuwa na umoja wa namna hii! Demokrasia ya kweli inatulazimisha kutofautiana kwa hoja, sera, na hata mitazamo; tofauti hizi zinatusababisha kushindwa kukaa pamoja na kukubaliana. Hivyo, kuna wakati ambapo mgawanyiko siyo tu ni muhimu lakini ni lazima vile vile.
Mgawanyiko tunaouona kula Iran
Mgawanyiko tuliouna kati ya mashabiki wa Bush na Obama
Mgawanyiko kati ya KANU na kina Mwai
Kama tunataka tupige kura inavyopaswa mwaka huu, ni lazima tugawanyike! CCM wanaelewa lugha ya mgawanyiko tu.. ndio maana leo wamekubali kukaa meza moja na CUF kwa sababu Wazanzibari wamegawanyika!!
Bara tunaogopa siasa za "kugawanyika" na hivyo tunalazimishwa kuwa katika umoja wa ulaghai na mshikamano wa uongo; haiwezekani kuwafunga ng'ombe na punda walime pamoja!
Wao wenyewe wanatugawanya sana karibu kila siku; tatizo kuwa tukianza kugawanyika wanashangaa mbona tunagawanyika! Ni kama mambo yale ya "Ukipanda nshale, ukishuka nshale, ukitingishika nshale, usiseme wala usimumunye!! "
Kwanini tunaogopa kugawanyika?