BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hao wanaolalamika wangekuwa kwenye nafasi hiyo,wangekaataa [emoji1]Kila siku anabeba 250,000 afu akae nyumbani
Yaani hapo 250,000 anaenda kaa Dodoma hadi Bunge liishe akisikikiza hotuba akitoka huko ana 21milkwa siku 90Hao wanaolalamika wangekuwa kwenye nafasi hiyo,wangekaataa [emoji1]
Ndiyo kwanza wangekuwa wale wale
Ova
Nakushauri umuamini Mungu wako tu aliekuumba lkn sio binadam mwenzako. Leo anakwambia hivi na kesho anakwambia vile.Lissu alisema hivi vyeo ni vya kikoloni CHADEMA tukishika hatamu tunavifutilia mbali.