BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hii nchi ina matumizi ya anasa sana, kwamba ni lazima hawa jamaa wasafiri kote huko kutoka Kona za Tanzania kwenda Dodoma kushuhudia bajeti ya Tamisemi ikisomwa?
Sina kumbukumbu kama hu utaratibu ni wa wakato wote au umeanza awamu ya kula kwa urefu wa kamba,
Kwamba hawawezi fuatilia mkutano kwenye Tv zao ni mpaka wawepo pale Dodoma.
Hizi taratibu za kijamaa na za kishamba huwezi zikuta popote pale Duniani.
Sina kumbukumbu kama hu utaratibu ni wa wakato wote au umeanza awamu ya kula kwa urefu wa kamba,
Kwamba hawawezi fuatilia mkutano kwenye Tv zao ni mpaka wawepo pale Dodoma.
Hizi taratibu za kijamaa na za kishamba huwezi zikuta popote pale Duniani.