Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipoje njia ya hakiSio lazima wote tuwe waislamu na hulazimishwi kuwa muislam, hapo jamaa anakulingania tu uende njia ya haki.
Njia ya haki ni kufuata yale aliyomarisha Mwenyez Mungu na kuacha yale aliyokataza. Kuacha kufuata matamanio ya Nafsi zetu kama muongozo wa maisha yetu.Ipoje njia ya haki
ShidaHao ndio waarabu akili zao zipo sehem ya kukalia
Mh kwahiyo sisi hatufwatiNjia ya haki ni kufuata yale aliyomarisha Mwenyez Mungu na kuacha yale aliyokataza. Kuacha kufuata matamanio ya Nafsi zetu kama muongozo wa maisha yetu.
Sijui wewe unachofuata,Mh kwahiyo sisi hatufwati
Sijui wewe unachofuata,
Ima inawezekana yupo Genuine anakuonea huruma anataka ufuate muongozo kama wake.Mkuu acha nikushauri kitu unajua kwanini huyo mtu anakushauri ubadili dini
Nikwasababu amekupima amekuona wewe ni dhaifu unaingilika kwa hoja za kijinga
Either mnaishi mtaa mmoja unamsifia sifia so ameona anakumudu anaweza kukuambia chochote anachojisikia juu yako
Mtu anaye question juu ya imani yako huyo ni takataka usimuendekeze mjibu ajione yeye ni ile kitu ya chooni
onaa eeUtoto Raha sana.
Ima inawezekana yupo Genuine anakuonea huruma anataka ufuate muongozo kama wake.
Katika maisha yangu haya mafupi nimeona watu kibao maarufu wanasilimu, wengine wakiwa ni Think tank kabisa za kuukandamiza Uisilamu matokeo yake wakabadili wenyewe.
Vyema kaa usome huo Uisilamu uuelewe kuliko kuhisi hisi kwamba watu wajinga ndio wanakuwa preached tu.
Sawa, nimeshakueka ignore listSorry nilimnukuu mleta maada
Ila usirudie kuniambia upumbavu wako