Ni lini CCM itafanya uchaguzi wa Mwenyekiti wao Taifa?

Ni lini CCM itafanya uchaguzi wa Mwenyekiti wao Taifa?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwa mujibu wa Katiba yao ni mtu ndiye anayeombwa na Halmashauri kuu kuwa Mwenyekiti wa chama chao Taifa na siyo wanachama wanaomba kugombea nafasi hiyo.

Kwa nini Wenyeviti woote kuanzia ngazi ya shina mpaka Mkoa waombe kugombea na kushindanishwa na wengine lakini inapofika ngazi ya taifa hakuna fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa.

CCM inaogopa nini kushindanisha wanachama wake kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa?
 
Kwa mujibu wa Katiba yao ni mtu ndiye anayeombwa na Halmashauri kuu kuwa Mwenyekiti wa chama chao Taifa na siyo wanachama wanaomba kugombea nafasi hiyo.

Kwa nini Wenyeviti woote kuanzia ngazi ya shina mpaka Mkoa waombe kugombea na kushindanishwa na wengine lakini inapofika ngazi ya taifa hakuna fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa.

CCM inaogopa nini kushindanisha wanachama wake kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa?
You nailed on a fresh wound and smeared peppers on it
 
Kwa mujibu wa Katiba yao ni mtu ndiye anayeombwa na Halmashauri kuu kuwa Mwenyekiti wa chama chao Taifa na siyo wanachama wanaomba kugombea nafasi hiyo.

Kwa nini Wenyeviti woote kuanzia ngazi ya shina mpaka Mkoa waombe kugombea na kushindanishwa na wengine lakini inapofika ngazi ya taifa hakuna fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa.

CCM inaogopa nini kushindanisha wanachama wake kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa?
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hicho chama ni kikundi cha kigaidi au kimafia kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu wachache.
Hkuna chama cha siasa hapo.
 
Back
Top Bottom