Ni lini Diamond atapewa maua yake?

Ni lini Diamond atapewa maua yake?

Labda siku akitangulia mbele ya haki maana watanzania tunamkumbuka mtu akishatangulia
 
Yeye pia aliinuliwa,je aliwapa maua yao waliomuinua? Bob junior au Ruge mutahaba?

Duniani binadamu tunategemeana,ndio maana utasikia Riziki ya mtu ipo kwa mtu,

Hata huyo Diamond alisaidiwa pia.
 
Hajawainua usimpe sifa asizo stahil.
Alichofanya ni kuwapa mafas ya kuonyesha uwezo (wao) kama yeye alivyopewa nafas na Bob Junior.

Mwisho wa siku akautumia uwezo wa hao vijana kujinufaisha. So kwakifupi madogo walipewa platform ila wakawa wao ndio wanapambana kuingiza pesa ya kumlipa Diamond na kujilipa wenyewe
wewe unaweza kufanya hivyo?
 
Mtampa lini Diamond Platnumz heshima yake kwa kile alichokifanya kuwainua Harmonize na Rayvanny wakati wao wameshindwa kabisa kuwainua wengine kwenye lebo zao.

WCB ndio lebo pekee iliyofanikiwa kupelekea wasanii International na kujulikana... Leo hii ukimzungumzia Zuchu, ni msanii international. Ukimzungumzia Mbosso Khan na wengineo ni wanasumbua vichwa vya mjini. Dogo D-Voice katoka juzi tu lakini sasa hivi ana hit songs za kutosha.

Nyie mashabiki wa konde gang for everybody msingemjua Konde Boy bila Chibu Dii Chibu Dee Simba (Wee Zombie Haujui). Harmonize anatutumua kifua lakini Godfather wake ni Chibu. Same applied to Rayvanny V-vanny boy Chui, leo hii kafanikiwa kuchukua tuzo ya BET kwa sababu alipewa platform na chibu Dii Chibu Dee.

Ni wazi kabisa PLATNUMZ inabidi apewe maua yake kwa kufanya soko la mziki kuchangamka na kuwa kibiashara. Diamond Platnumz akifa leo uenda yakatokea kama ya Kanumba na Bongo Movie. Tutakuwa kama wakenya na mziki wao, tunaimba wee ila hatutoboi. Mziki wa East Africa umeshikwa na WCB.
Tatizo wabongo tunasubiri mtu afe tuanze unafiki wetu. Chibu pia amwewapa platforms kubwa wanawake aliozaa nao kama ifuatavyo:
1. Mobetto - kila mtu anajua
2.Zari - kila mtu anajua
3.Tanasha- kila mtu anajua

Hawa wote kwa sasa hawasemi kitu cha kumsifu aliyewapa hizo platforms wanasubiri afe...utaona povu lao
 
wewe unaweza kufanya hivyo?
Kwann nisiweze.? Leveraging on people? Nani asiyependa kutumia vipaji vya watu kujinufaisha???

Yan nakuona una kipaji chako, nakuchukua nakuvalisha nakulisha nakupelekea studio kuimba pesa inaingia, katika 1000 inayopatikana nakata 100 ya mavaz niliokununulia, nakata 50 ya chakula nimekulisha, nakata 70 ya Malazi inabaki 780, nakupunguzia 130 ubaki nayo kama kifuta jasho halaf mzigo 650 woote unakua wangu kama faida baada ya kurudisha investment yangu ya 220 kwako. So kiujumla napata 870 wewe 130

Sasa nani asiyeweza kufanya kitu kama hicho?
 
Mtampa lini Diamond Platnumz heshima yake kwa kile alichokifanya kuwainua Harmonize na Rayvanny wakati wao wameshindwa kabisa kuwainua wengine kwenye lebo zao.

WCB ndio lebo pekee iliyofanikiwa kupelekea wasanii International na kujulikana... Leo hii ukimzungumzia Zuchu, ni msanii international. Ukimzungumzia Mbosso Khan na wengineo ni wanasumbua vichwa vya mjini. Dogo D-Voice katoka juzi tu lakini sasa hivi ana hit songs za kutosha.

Nyie mashabiki wa konde gang for everybody msingemjua Konde Boy bila Chibu Dii Chibu Dee Simba (Wee Zombie Haujui). Harmonize anatutumua kifua lakini Godfather wake ni Chibu. Same applied to Rayvanny V-vanny boy Chui, leo hii kafanikiwa kuchukua tuzo ya BET kwa sababu alipewa platform na chibu Dii Chibu Dee.

Ni wazi kabisa PLATNUMZ inabidi apewe maua yake kwa kufanya soko la mziki kuchangamka na kuwa kibiashara. Diamond Platnumz akifa leo uenda yakatokea kama ya Kanumba na Bongo Movie. Tutakuwa kama wakenya na mziki wao, tunaimba wee ila hatutoboi. Mziki wa East Africa umeshikwa na WCB.
Akifa maua atapata na sifa kibao ....
 
Ndo ukweli, unadhani hizo academy awards kina burna boy wanachukua bure?

Mashabiki wa marekani na ulaya ndo wana uwezekano mkubwa wa kustream, kusafiri kuona shows, kupigia kura nominations

Wasanii wengi wa nigeria ndo wapo global, hata wakifanya show huku africa kuna wazungu wanakuja kuona

Angalia mashabiki wake wengi wanapotoka, hata nyumbani mnamkataa
View attachment 2921209

Anaposikilizwa sana maredioni
View attachment 2921210
Kati ya wanaigeria na wabongo wapi ni wengi nchin marekani?
Burna boy anatumia lugha gani na diamond anatumia lugha gani?
tafuta wanaigeria 400 wanaomfatilia da baby na wanaojua nyimbo na albamu zake halafu ukute hata kama 50 wanafika.
Nigeria wapo wengi marekan na hata kwa population wametuzidi mbali
Diamond ni msanii international regardless bado tunatumia lugha ambayo ulimwenguni haitumiwi kwa ukubwa lakin kazi kubwa kaifanya kupeleka mziki katika mizani ya kimataifa.
 
Kati ya wanaigeria na wabongo wapi ni wengi nchin marekani?
Burna boy anatumia lugha gani na diamond anatumia lugha gani?
tafuta wanaigeria 400 wanaomfatilia da baby na wanaojua nyimbo na albamu zake halafu ukute hata kama 50 wanafika.
Nigeria wapo wengi marekan na hata kwa population wametuzidi mbali
Diamond ni msanii international regardless bado tunatumia lugha ambayo ulimwenguni haitumiwi kwa ukubwa lakin kazi kubwa kaifanya kupeleka mziki katika mizani ya kimataifa.
Hatuelewani.

Haijalishi lugha wanazotumia, ukiwa na mashabiki wengi nchi zilizoendelea, ndo unakuwa international

Anao mashabiki huko, ila sio wengi

Dababy sijui anaingiaje hapa

Wewe ni shabiki maandazi
 
Hatuelewani.

Haijalishi lugha wanazotumia, ukiwa na mashabiki wengi nchi zilizoendelea, ndo unakuwa international

Anao mashabiki huko, ila sio wengi

Dababy sijui anaingiaje hapa

Wewe ni shabiki maandazi
kwanza kabisa huelewi maana ya international.

Pili, anao mashabiki huko ila sio wengi, halafu bado unaendelea kubisha si msanii wa kimataifa!!
Tuzo za duniani zinamtambua diamond
Diamond kashinda MTV EMA best african act akiwashinda burna boy, Asake , libianca na wote hao ni wasanii wakubwa halafu bado unasema si msanii wa kimataifa? Upo sawa?

Diamond ashashinda artist of the year afrika akiwamwaga chini wizkid, davido, ed kenzo, burna na wengine kibao halafu bado unasema si msanii wa kimataifa!! Upo sawa kweli?
Anashinda vipi tuzo za kimataifa halafu bado unasema si msanii wa kimataifa?

Mkuu upo sawa au unaelewa unachoongea?
 
kwanza kabisa huelewi maana ya international.

Pili, anao mashabiki huko ila sio wengi, halafu bado unaendelea kubisha si msanii wa kimataifa!!
Tuzo za duniani zinamtambua diamond
Diamond kashinda MTV EMA best african act akiwashinda burna boy, Asake , libianca na wote hao ni wasanii wakubwa halafu bado unasema si msanii wa kimataifa? Upo sawa?

Diamond ashashinda artist of the year afrika akiwamwaga chini wizkid, davido, ed kenzo, burna na wengine kibao halafu bado unasema si msanii wa kimataifa!! Upo sawa kweli?
Anashinda vipi tuzo za kimataifa halafu bado unasema si msanii wa kimataifa?

Mkuu upo sawa au unaelewa unachoongea?
best african artist kapewa na TRACE, haina uzito

diamond sio international, sioni umataifa wake kwa kweli

he is very overrated

umataifa wake ni wa kichokozi tu
 
best african artist kapewa na TRACE, haina uzito

diamond sio international, sioni umataifa wake kwa kweli

he is very overrated

umataifa wake ni wa kichokozi tu
unaweza kuthibitisha kapewa na TRACE? Na sio stori zako?
Diamond kawashinda wasanii wakubwa burna boy, asake, wizkid davido, libanca, flavour,
sasa tuambie wewe trace walimpa vipi na tuonyeshe sehemu trace waliosema tumempa hakustahili?
 
unaweza kuthibitisha kapewa na TRACE? Na sio stori zako?
Diamond kawashinda wasanii wakubwa burna boy, asake, wizkid davido, libanca, flavour,
sasa tuambie wewe trace walimpa vipi na tuonyeshe sehemu trace waliosema tumempa hakustahili?
ana trace ya best EA artist

MTV EMA 5

headie 1 sijui,

haya umeshinda
 
Back
Top Bottom