Black Elon
Member
- Nov 2, 2023
- 93
- 116
Wiki ijayo ipi tena boss wakati wa vikosini washaanza kuingia tayari.Sema nixhakata matumaini maana walioko vikosin naona kama wki ijayo wanaingia rts
Dogo inaonekana ana maelekezo ya kutosha.Yaaan kwa takwimu nilizofanya SAFARI hii hakuna Kozi ya watu 7000 may be 3000-4000 wanaanz kuja vijana wachache sana unakuta kambi nzima watu 11 kwelii walikochukua wengi kidg ni Mafinga nako 105 yaaan mambo magumu ila Mungu mkubwa Dogo katoboa Kila lakheri wapambanaji
Amna kiongoz nimepambana sana kwanzia humu humu kuna watu walishakula hela zangu hawajali cha ww ni mwanajesh au nani ila hatimae safar hii nilimpata mzee mmoja kutokea kyela Uko nikamfuata wa nyumban kabsa ndo Mungu ameblessDogo inaonekana ana maelekezo ya kutosha.
Au nyie ni watoto wa 2 star general?.
Sio kweri mkuu wanachukua watu elfu saba na ushenzi na mpaka sasa waliotuma maombi kwa watu wa uraiani mpaka ijumaa iliopita ilikua bado hawajaanza sijajua kama wiki hii wameanza na kundi kubwa la watu litachukuliwa toka uraiani ndioaman unaona vikosini wanachukua wachache hii yote nikupunguza watu mtaani..note mwakani uchaguzi mkuuYaaan kwa takwimu nilizofanya SAFARI hii hakuna Kozi ya watu 7000 may be 3000-4000 wanaanz kuja vijana wachache sana unakuta kambi nzima watu 11 kwelii walikochukua wengi kidg ni Mafinga nako 105 yaaan mambo magumu ila Mungu mkubwa Dogo katoboa Kila lakheri wapambanaji
Kwanza oljoro ipo wapiWakuu Kuna dogo alikuwa anapiga Mujibu wa Sheria Kambi Moja Kanda ya ziwa,this week akatakiwa aende Oljoro.Nilitaka kujua kule ndo anaenda kufanyiwa usaili au ndo ashapita jumla
Huyo kaenda kufanya usaili wa vyeti kwajiri ya military science na kuacha namba ya simu hao kozi yao hua januaryWakuu Kuna dogo alikuwa anapiga Mujibu wa Sheria Kambi Moja Kanda ya ziwa,this week akatakiwa aende Oljoro.Nilitaka kujua kule ndo anaenda kufanyiwa usaili au ndo ashapita jumla
ArushaKwanza oljoro ipo wapi
Kwakua jina lako litakua tayari lipo RTS na limetoka makao makuu ya jeshi relax wao wanatadili na vyeti vyako vya taaluma na kuzaliwa basi bila kusahau vipimo kujua kama umewaka😂Kama hauna cheti Cha Jax kwenye usahili unaweza wekwa pembeni kama hauna mbanga ila pia Mungu yupo unaweza penya tu ile ni kozi nyingne kabisa tofauti na Jkt mambo yanaanz na moja
Mtaani ndo kuwe na kundi Kubwa ngoja tusubiri ila mimi nakwambia ni Msata rts 3000 na oljoro watakatwa bogi kutoka msata watakuwa 1000 tu hakuna elfu saba apa nimekaa paleSio kweri mkuu wanachukua watu elfu saba na ushenzi na mpaka sasa waliotuma maombi kwa watu wa uraiani mpaka ijumaa iliopita ilikua bado hawajaanza sijajua kama wiki hii wameanza na kundi kubwa la watu litachukuliwa toka uraiani ndioaman unaona vikosini wanachukua wachache hii yote nikupunguza watu mtaani..note mwakani uchaguzi mkuu
Hii ni sahihi tu cha kwanza jina likienda kule ata kama hauna Jax hawatadili tena watahisi wew ni mtoto wa mzito hii kweliiKwakua jina lako litakua tayari lipo RTS na limetoka makao makuu ya jeshi relax wao wanatadili na vyeti vyako vya taaluma na kuzaliwa basi bila kusahau vipimo kujua kama umewaka😂
Natamani nikupe evidence sema hapa sio salama sanaMtaani ndo kuwe na kundi Kubwa ngoja tusubiri ila mimi nakwambia ni Msata rts 3000 na oljoro watakatwa bogi kutoka msata watakuwa 1000 tu hakuna elfu saba apa nimekaa pale
Ivi kutakua na muda wa kupitia barua zote au ni kufarijiana tuSio kweri mkuu wanachukua watu elfu saba na ushenzi na mpaka sasa waliotuma maombi kwa watu wa uraiani mpaka ijumaa iliopita ilikua bado hawajaanza sijajua kama wiki hii wameanza na kundi kubwa la watu litachukuliwa toka uraiani ndioaman unaona vikosini wanachukua wachache hii yote nikupunguza watu mtaani..note mwakani uchaguzi mkuu
Oljoro hii ipo Arusha afu mtu ukipelekwa Oljoro shangwe sana Yan coz ma service wapo pale unaeza kuwa unaongea ata na bebe wa mtaaKwanza oljoro ipo wapi
Ni Pm mkuu unipe Evidence na Mim Nikupe Evidence kidgNatamani nikupe evidence sema hapa sio salama sana
Barua zote inawezekana kupitia kama kozi itachelewa kama inawahi watapitia tu namba za simu nje basi na kupigia watu then ukifika Kule Rts ndo mchujo utaanza..Ivi kutakua na muda wa kupitia barua zote au ni kufarijiana tu