Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ilikuwa kozi ifanyike RTS Oljoro huo mwaka, sababu sikujua ni zipi ila ndo ilivyokuwa.
Bora wewe ushapimwa kila kitu ukawa huna wanatafuta namna wakupunguze mwana aliangua kilio baada ya kuambiwa ana dalili ya Hepatitis kumbe figisu tu
 
Daah mwaka juzi nilipata bahati kufikia hadi kuambiwa niandae nini na nini nikareport Oljolo Dk za mwisho ikapigwa aziwea sina hamu. Sema tu sikuleta papara kununua vitu la sivyo kingenilamba ila nilichukua boxer nyingi sana kama walivyosema kwa wakati ule..

Kila la kheri kwa mtapata sms mkapite kwenye sahili zenu.
Mwaka juzi oljoro kozi ilipigwa mbn mkuu wangu au unamaanisha mwakajana
 
Back
Top Bottom