Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kwa kigezo gan mkuu? Mm niko msata hapa rts zoez la sms halijaanza bado acha kupotosha
Wewe ndo huwaambii ukweli.
Maisha sio jeshini tu kuna jamaa mmoja humu aliwahi kusema.

Vijana wenzangu, ni kweli tunatamani kuona kesho yetu iliyobora angalau hata kwa hichi ambacho tunakisubiria.
Lakini tusiwe na over expectations wakuu.

Kama mmeandikiwa kwenda kuandikishwa jeshini basi mtaenda tu.

Shida wengi wetu humu, pressure ni nyingi๐Ÿ˜„

Unakufa leo kwa pressure, kesho unatumiwa sms
 
Wewe ndo huwaambii ukweli.
Maisha sio jeshini tu kuna jamaa mmoja humu aliwahi kusema.

Vijana wenzangu, ni kweli tunatamani kuona kesho yetu iliyobora angalau hata kwa hichi ambacho tunakisubiria.
Lakini tusiwe na over expectations wakuu.

Kama mmeandikiwa kwenda kuandikishwa jeshini basi mtaenda tu.

Shida wengi wetu humu, pressure ni nyingi๐Ÿ˜„

Unakufa leo kwa pressure, kesho unatumiwa sms
Sasa haya ni maneno ya kutoa presha watu? Ofkooz uko sawa watu wasiwe na expectation kubwa kupita kias lakin sio kwa staili hii mkuu, zoez la sms bado lakin pia si kila mtu hapa jf aliyeomba atapata. Huu ndio ukweli.. kalaga baho hapa hata kuomba sijaomba lakin nasubiri sms.. so life is still exist in its simplicity way
 
Sasa haya ni maneno ya kutoa presha watu? Ofkooz uko sawa watu wasiwe na expectation kubwa kupita kias lakin sio kwa staili hii mkuu, zoez la sms bado lakin pia si kila mtu hapa jf aliyeomba atapata. Huu ndio ukweli.. kalaga baho hapa hata kuomba sijaomba lakin nasubiri sms.. so life is still exist in its simplicity way

We jamaa unajua sana sema ni vile ulichelewa kunielewa.

Ili usife kwa presha za lonja,๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Hakikisha kila taarifa inayopita machoni mwako unaifanyia upembuzi yakinifu.
Hilo litakusaidia sana.

Watu wengi humu ndani kila taarifa wanayoipata wanaichukua kama ilivyo bila kuichekecha.
Mbaya hiyoooooo.
 
We jamaa unajua sana sema ni vile ulichelewa kunielewa.

Ili usife kwa presha za lonja,๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Hakikisha kila taarifa inayopita machoni mwako unaifanyia upembuzi yakinifu.
Hilo litakusaidia sana.

Watu wengi humu ndani kila taarifa wanayoipata wanaichukua kama ilivyo bila kuichekecha.
Mbaya hiyoooooo.
Nakuelewa mkuu ila watu wanaweza kulibeba hili leo wakashindwa hata kushuglika na wake zao mitaani kwa stress. Tutashindwa kuzaana! Hiv unajua ujumbe kama huu ukifika hapa ni kina Padone EPM wangapi leo watalala na njaa?

Na jina ulilojipa linaheshimika sana humu. KJ ni mamlaka hayo ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Nakuelewa mkuu ila watu wanaweza kulibeba hili leo wakashindwa hata kushuglika na wake zao mitaani kwa stress. Tutashindwa kuzaana! Hiv unajua ujumbe kama huu ukifika hapa ni kina Padone EPM wangapi leo watalala na njaa?

Na jina ulilojipa linaheshimika sana humu. KJ ni mamlaka hayo ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Uyu ndo alitakiwa ajiite mlevi mmoja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ abadilishe na dp kabsa
 
Nakuelewa mkuu ila watu wanaweza kulibeba hili leo wakashindwa hata kushuglika na wake zao mitaani kwa stress. Tutashindwa kuzaana! Hiv unajua ujumbe kama huu ukifika hapa ni kina Padone EPM wangapi leo watalala na njaa?

Na jina ulilojipa linaheshimika sana humu. KJ ni mamlaka hayo ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Mungu wetu sote mkuu, tuendelee kumuomba atufungulie na sisi
maana waliopo ndani sio kwamba kuna kitu cha spesho sana walimfanyia.

Kingine hzo anonymous names zisikuogopeshe mkuu.
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

Ukituona physically ni watu wa hovyo mnoooooo kuliko hata wewe.

Saa ingine na sisi tunasubiria sms.
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Mungu wetu sote mkuu, tuendelee kumuomba atufungulie na sisi
maana waliopo ndani sio kwamba kuna kitu cha spesho sana walimfanyia.

Kingine hzo anonymous names zisikuogopeshe mkuu.
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

Ukituona physically ni watu wa hovyo mnoooooo kuliko hata wewe.

Saa ingine na sisi tunasubiria sms.
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
I believe
Si kila mtu hapa yupo kupata lonja. Unajua shida iliyopo ni imani ya kwamba kila alie na vigezo ataitwa. Kuna watu wanaamin kwamba nina vigezo nitaitwa. Hii si nzur although, kuwa na vigezo complete sio sabab

Ikija suala la nafas na uchache wake ni real, kama mungu ni wa kila mtu watakaopata ni wa mungu kama wale waliokosa. Imani juu ya matarajio pia inabidi owe flexible, si kila aliyekosa nafas kama hiz alifeli vitu vingine alivyofanya. Kuna watu katika tutakaosa hiz, watafanikiwa katika njia nyingine ya maisha zaidi ya tutakaopata. Maisha yanaenda mbele kinyumenyume

Who knows tomorrow?
 
Back
Top Bottom