Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Baba kantuma hawafanyagi usahili mzee! Maswali hayo mnamuuliza sa ngapUkifika pale unasema "Mi baba kanituma" unaambiwa "Kamlete babaako hapa"
Umemueka mbanga wako dp 😂🙌Baba kantuma hawafanyagi usahili mzee! Maswali hayo mnamuuliza sa ngap
Jimbanga langu ni limubuyu, sentence yake moja tu kozi inaweza kughairishwa hadi mwakani hiyoUmemueka mbanga wako dp 😂🙌
Kwamba ni cdfJimbanga langu ni limubuyu, sentence yake moja tu kozi inaweza kughairishwa hadi mwakani hiyo
CDF ndo ana cheo gani huko umbangani? Mbanga wangu mm anaweza kumtoa cdf hapo akaweka mwingineKwamba ni cdf
Hapo nimemjua kumbe ww ndio jiran yake mama kizmkazCDF ndo ana cheo gani huko umbangani? Mbanga wangu mm anaweza kumtoa cdf hapo akaweka mwingine
Cc. Punda Kasingiziwa
Swardolf102
Nyie kwepeni mabomu tu.. mm napiga zangu uwinga kariakoo hapaHapo nimemjua kumbe ww ndio jiran yake mama kizmkaz
Airsoft desert MDRX ..!Naona Mwamba kashikilia Desert MDR. Bunduki nyepesii ila mapigo yake sasa.....🙌🙌🙌🙌
View attachment 3081642
Nangojea nione watu waje walete mrejesho wa underfir watakao bahatika kwenda jeshiNyie kwepeni mabomu tu.. mm napiga zangu uwinga kariakoo hapa
Mashine ya kazi,Airsoft desert MDRX ..!
kitenge ndioVijana mnataka kitenge
Hatari sana lakini salama..!Mashine ya kazi,
Ile kaz ngum sana.. watu wenye bahat wataitwa tu! Ila nna uhakika kuna watu watakwenda baada ya zoez la usahil kuisha.Nangojea nione watu waje walete mrejesho wa underfir watakao bahatika kwenda jeshi
Haleluyaaaa 😅😅Ile kaz ngum sana.. watu wenye bahat wataitwa tu! Ila nna uhakika kuna watu watakwenda baada ya zoez la usahil kuisha.
Hao ndio wenye mibangaIle kaz ngum sana.. watu wenye bahat wataitwa tu! Ila nna uhakika kuna watu watakwenda baada ya zoez la usahil kuisha.
Wewee unamdanganya mwenzioHiyo ni kambi ya makomando Morogoro ukisikia 92 KJ ndio Huko
Slow slow mkuu.Haya madogo yanalala lala tu kizembe mpaka now dadeqiii Kozi ikifunguliwa watajuta haiwezekan mi npo macho saa 10 hii yenyewe yamelala et yamechoka na safari nasemaje yatakubaliii within 6 weeks kuna watu watatema Bung'ooo maji yatazid unga