Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Sio kweri ata koplo anafanikisha jambo unajua ile team ya ulinzi ya mkuu wa majeshi au wale star gen wote akuna mwenye cheo cha kanali sasa wale ndio watu wakula nao sahani moja mana wsnashinda na watu wazito wote
Koplo
Sajenti
Diwani
Mtendaji
Wote wanaweza kulingana na ukaribu wao na wakuu (sasa hao wakuu ni kinani? HAO WAKUU ni
Kanal
Brigedia
Meja general
Luten general
General
 
We jamaa wa ikulu imekuja kuokota raia zako....kuna mwamba hapo juu kashamaliza kila kitu anaweza kuwa ana cheo kidogo ila yeye ndio ameshibana na wakubwa huko juu na utashi wake wa kuchekecha mambo ukazama chomboni...
Huyo mwenye cheo kidogo atamuomba nan kufanikisha hilo jambo?

Mkoa X kuna staff sajent kila mwaka lzm apenyeze mtu JW nafasi zikitoka kwa sababu ni dereva wa Kanali hivyo basi huwa anamuomba Kanali amsaidie

Pia mkoa huo huo kuna captain Ana mdogo wake ameanza kumtafutia nafasi ya jeshi since 2019 kakosa amekupa kupata magereza mwaka jana
 
Sawa huyo privet akitaka nafasi anaenda kuongea na Sajent au anaamua tu yeye kukupachika ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…