Na hilii wee mwenyewe hujui? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alaf mabio begi huwa n kilo ngap wakuu 5Kg au 10Kg??
Hiyo inafahamika nawapa attention wengne tu 😀Na hilii wee mwenyewe hujui? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chini ya utawala wa mama mh. Dr samia suluhu hassan hatutakiwi kuteswa hivi kakaHizo six weeks mwambie atakesha akipiga push up kubeba magogo na mazaga mengine kibao mpk mornie aunge mabio😂
Zile nguzo mkuu mtu tatu nguzo moja.....na zinalowekwaga kwenye maji cjui ziwe nzito😂Chini ya utawala wa mama mh. Dr samia suluhu hassan hatutakiwi kuteswa hivi kaka
Magogo tena , mbona ghafla sana
Sifa uvumilivu au sio, sema nini, sikunaile coy ya wagonjwa!!?, tunajichomeka tu mzaziZile nguzo mkuu mtu tatu nguzo moja.....na zinalowekwaga kwenye maji cjui ziwe nzito😂
Nguzo za tanesco auZile nguzo mkuu mtu tatu nguzo moja.....na zinalowekwaga kwenye maji cjui ziwe nzito😂
Zatanesco abebe nani bhana,, abeg abeg tutagoma tuuuuNguzo za tanesco au
Kwan umeambiwa huko wanaotakiwa wagonjwa...ndio maana kukawa na vipimo kabla ya fatiki kwan ukuskia bogi la mwaka Jana kuna manzi alitoka mabio asubh akaanguka ndio ikawa safar na ilkua uzalendo badoSifa uvumilivu au sio, sema nini, sikunaile coy ya wagonjwa!!?, tunajichomeka tu mzazi
Ndio nasubiri anijibu maana ameniambia mimi muongo92KJ sangasanga 😀
Hapan sio za tanesco Ila we jiandae kuziinua kwa filimbi😂 bega la kushoto kuamishia kulia mara kati upige skwat nayo😂😂 na bakora juu dadeqiiiiNguzo za tanesco au
Achana nae huyo mzazi pengne hajui hata hapo sangasanga ni kozi gani anawezapata ujuaji mwingi Kama ubaya ubwege😂Ndio nasubiri anijibu maana ameniambia mimi muongo
Daah, kwamba yale yakwenye movie unaenda kuyafanya live kabisaHapan sio za tanesco Ila we jiandae kuziinua kwa filimbi😂 bega la kushoto kuamishia kulia mara kati upige skwat nayo😂😂 na bakora juu dadeqiiii
Ulishaambiwa jeshi ni kugangamala sio lelemamaDaah, kwamba yale yakwenye movie unaenda kuyafanya live kabisa
Aisee, kumbe kugangamala kwenyewe ndo huku blazaUlishaambiwa jeshi ni kugangamala sio lelemama
KoploSio kweri ata koplo anafanikisha jambo unajua ile team ya ulinzi ya mkuu wa majeshi au wale star gen wote akuna mwenye cheo cha kanali sasa wale ndio watu wakula nao sahani moja mana wsnashinda na watu wazito wote
Huyo mwenye cheo kidogo atamuomba nan kufanikisha hilo jambo?We jamaa wa ikulu imekuja kuokota raia zako....kuna mwamba hapo juu kashamaliza kila kitu anaweza kuwa ana cheo kidogo ila yeye ndio ameshibana na wakubwa huko juu na utashi wake wa kuchekecha mambo ukazama chomboni...
Koplo wa MMJ au sioWatu apa wamekalili sana kuna siku nilisema kanali anaefanya kazi chita sio sawa na koplo anaefanya kazi tawi la utumishi MMJ
Inategemeana na ukubwa wakeKwahyo kama una mshono popote unarudishwa
Sawa huyo privet akitaka nafasi anaenda kuongea na Sajent au anaamua tu yeye kukupachika ?Hahaha so Kwanzia kanali kuna dogo anamifumo na ni Private yupo zake mission uko MT. Ndug yake kutoka mafinga ana gamba la standard seven kasomwa jina vizuri kabisa ni Mifumo tu. Ata mtu ambae sio mwanajesh anaweza kuwa na mfumo ikiwa anaongea vzr na wakuu