Mkuu Maua
JF-Expert Member
- Aug 4, 2024
- 251
- 512
Kwahyo mkuu wewe unatushaurije tusiokua na mbangaHuyo mwenye cheo kidogo atamuomba nan kufanikisha hilo jambo?
Mkoa X kuna staff sajent kila mwaka lzm apenyeze mtu JW nafasi zikitoka kwa sababu ni dereva wa Kanali hivyo basi huwa anamuomba Kanali amsaidie
Pia mkoa huo huo kuna captain Ana mdogo wake ameanza kumtafutia nafasi ya jeshi since 2019 kakosa amekupa kupata magereza mwaka jana